Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,905
- 9,922
Usirudie tena mkuu.. kuna mwenzako aliwahi kutoa wazo kama hili akahasiwa🤣🤣🤣Mkulungwa mimi nimetowa wazo tu. 😂😂😂
Usirudie tena mkuu.. kuna mwenzako aliwahi kutoa wazo kama hili akahasiwa🤣🤣🤣Mkulungwa mimi nimetowa wazo tu. 😂😂😂
Nketiah anamzidi??Hajakosa namba. Hataki kupambania hiyo namba na wengine wazuri kama yeye au pengine Bora zaidi yake. Anataka mahali ambapo yeye atakuwa ndiye Bora na no.1 katika uchaguzi wa kocha. Huenda akija kwenu hatakuwa na ushindani mkubwa sana na atapata nafasi zaidi kuonyesha uwezo wake na kufika levels za juu kimpira
Nketiah anamzidi?
Binafsi naamanini atasajiliwa striker mzuri zaidi ya Jackson kabla ya dirisha kufungwa.Kesho tushushe kipigo kitakatifu kwa wagonga kokoto wa london ili iwe onyo kwa pimbi yoyote atakaye Kutana na sisi msimu huu asilete mazoea na sisi kabisa
Broja lakini tuna tatizo kuu ni kwamba Jackson ataenda kushiriki michuano ya Afcon pengo litaanzia hapa kivyovyote Chelsea watakuwa wameliona hili so lazima watanunua strikerUongozi ukikosea sana kumtoa Datro Fofana kwenda mkopo ikiwa hawajafanya analysis vizuri...Sasa nani msaidizi wa Jackson akiumia au akipata adhabu?
Ushindi hauwahitaji chelsick leoChelsea tunahitaji ushindi leo
Noni leo anaweza akacheza.alipata injury kabla ya mech ya mwisho ya pre season ila kasharud kwenye mazoeziNoni Mudueke yeye yuko wapi? anaumwa au hayupo kwenye mipango ya Kocha
Nkunku atakuwa amepona, Broja yupo, Burstow aliyefunga bao dhidi ya Dortmund naye yupo bado hajatolewa mkopoBroja lakini tuna tatizo kuu ni kwamba Jackson ataenda kushiriki michuano ya Afcon pengo litaanzia hapa kivyovyote Chelsea watakuwa wameliona hili so lazima watanunua striker
Epl ni ligi ngumu si ya kuwategemea sana hao vijanaNkunku atakuwa amepona, Broja yupo, Burstow aliyefunga bao dhidi ya Dortmund naye yupo bado hajatolewa mkopo
Hamna mchezaji humoNoni Mudueke yeye yuko wapi? anaumwa au hayupo kwenye mipango ya Kocha