Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kinawaramba huko 🤣😁 poor cheltako
Chelsea wameanzia walipoishia msimu uliopita,tuliwambia mpira sio kinunua rundo la wachezaji kwa bei juu,mpira inaitaji coch mwenye mbinu na bahati.Chelsia Man U,Liver kupata unafuu waombi gradiola haondoke pale epl la sivyo timu zitaendelea kushikana uchawi 🤣🤣🤣
 
Poleni sana wana Chelsea wenzangu
Kiushabiki tumefulia
Kimpira ni sawa kabisa, tumecheza vizuri
Mchezo wa leo umeonyesha tabia zote za wachezaji wasio na Chemistry na pia uzoefu
Mfano tofautisha mabeki wa Westham na wa Chelsea
Mabeki wa Westham walicheza kwa nidhamu ya hali ya juu
Sisi tumejilinda kitoto mno, kuanzia Kipa hakuna kitu pale kwa Sanchez, naona sura nzuri tu na urefu wa kupendeza, Afadhali Kepa wetu
Mabeki wetu wanahitaji kulindwa sana, sio wazoefu
Kipindi cha kwanza tulicheza vizuri ila kipindi cha pili mpira umekuwa ukichezwa zaidi na mabeki ambao nao wanapasiana kwa taratibu mno.
Tunahitaji striker wa pili ili kupeana ushindani na pia kupokezana
Hitimisho
Matokeo kama haya yalitegemewa kwa timu mpya na changa isiyo na uzoefu na wala hawana chemistry nzuri
Chelsea inavyoziodi kucheza inapata uzoefu na kutengezeana chemistry na kocha naye atakuwa akijifunza kitu kwa hii squad changa
Caicedo na Lavia wakishatulia katikati ikatulia mambo yatabadilika tu
Sterling akiendelea kucheza kama leo atakuwa anautendea haki mshahara anaolipwa
Tukumbuke kuwa Westham mwenye umri mdogo ni Paqueta ana miaka 26, wengine ni zaidi ya hapo. So leo ilikuwa ni mechi ya wazee wazoefu na vitoto vya miaka 21/22 kwa wastani
 
Nasikia lembu yupo aisiyuu
Poleni sana wana Chelsea wenzangu
Kiushabiki tumefulia
Kimpira ni sawa kabisa, tumecheza vizuri
Mchezo wa leo umeonyesha tabia zote za wachezaji wasio na Chemistry na pia uzoefu
Mfano tofautisha mabeki wa Westham na wa Chelsea
Mabeki wa Westham walicheza kwa nidhamu ya hali ya juu
Sisi tumejilinda kitoto mno, kuanzia Kipa hakuna kitu pale kwa Sanchez, naona sura nzuri tu na urefu wa kupendeza, Afadhali Kepa wetu
Mabeki wetu wanahitaji kulindwa sana, sio wazoefu
Kipindi cha kwanza tulicheza vizuri ila kipindi cha pili mpira umekuwa ukichezwa zaidi na mabeki ambao nao wanapasiana kwa taratibu mno.
Tunahitaji striker wa pili ili kupeana ushindani na pia kupokezana
Hitimisho
Matokeo kama haya yalitegemewa kwa timu mpya na changa isiyo na uzoefu na wala hawana chemistry nzuri
Chelsea inavyoziodi kucheza inapata uzoefu na kujengezana chemistry na kocha naye atakuwa akijifunza kitu kwa hii squad changa
Caicedo na Lavia wakishatulia katikati ikatulia mambo yatabadilika tu
Sterling akiendelea kucheza kama leo atakuwa anautendea haki mshahara anaolipwa
Tukumbuke kuwa Westhama mwenye umri mdogo ni Paqueta ana miaka 26, wengine ni zaidi ya hapo. So leo ilikuwa ni mechi ya wazee wazoefu na vitoto vya miaka 21/22 kwa wastani
Nipo mimi wala sina wasiwasi. mtoto mchanga kuwa na homa za mara kwa mara ni kawaida
 
Poleni sana wana Chelsea wenzangu
Kiushabiki tumefulia
Kimpira ni sawa kabisa, tumecheza vizuri
Mchezo wa leo umeonyesha tabia zote za wachezaji wasio na Chemistry na pia uzoefu
Mfano tofautisha mabeki wa Westham na wa Chelsea
Mabeki wa Westham walicheza kwa nidhamu ya hali ya juu
Sisi tumejilinda kitoto mno, kuanzia Kipa hakuna kitu pale kwa Sanchez, naona sura nzuri tu na urefu wa kupendeza, Afadhali Kepa wetu
Mabeki wetu wanahitaji kulindwa sana, sio wazoefu
Kipindi cha kwanza tulicheza vizuri ila kipindi cha pili mpira umekuwa ukichezwa zaidi na mabeki ambao nao wanapasiana kwa taratibu mno.
Tunahitaji striker wa pili ili kupeana ushindani na pia kupokezana
Hitimisho
Matokeo kama haya yalitegemewa kwa timu mpya na changa isiyo na uzoefu na wala hawana chemistry nzuri
Chelsea inavyoziodi kucheza inapata uzoefu na kujengezana chemistry na kocha naye atakuwa akijifunza kitu kwa hii squad changa
Caicedo na Lavia wakishatulia katikati ikatulia mambo yatabadilika tu
Sterling akiendelea kucheza kama leo atakuwa anautendea haki mshahara anaolipwa
Tukumbuke kuwa Westhama mwenye umri mdogo ni Paqueta ana miaka 26, wengine ni zaidi ya hapo. So leo ilikuwa ni mechi ya wazee wazoefu na vitoto vya miaka 21/22 kwa wastani
Endelea kujambajamba na huyo caicedo mechi ijayo penati tena pale mmepigwaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
1st half tulicheza vizuri sema baada ya chukwumeka kupata injury tatizo likaanzia hapo. Maana mudriky huyu jamaa bingwa wa mtindo ya nywele mpira wake mchache labda bado hana confidence, sterling kacheza vizuri, lakini pale kwenye namba 9 bado Jackson jamaa anazulula sana japo anacheza vyema sema ange tulia kwenye box ange score vizuri sana huyu jamaa wa kutwa senesi nae mapepe
 
Chelsea wakishua mnapigwa nyundo
Nimefurahi Chelsea FC kufungwa maana bado wanahitaji muda kuwa na Pochettinho ili wawe na;

Consistency.

Winning mentality.

Tactics.

Techniques.

Philosophy.

Physical fitness.

Chelsea FC waongeze striker wa uhakika.

Pochettinho ni everage Coach sababu hana mataji makubwa yoyote ya Ulaya ila Chelsea FC inahamasisha kuitizama kimpira na kuleta matumaini baadaye.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kijana anapiga penati ya madharau

Hii ni dhihaka kwa genge la wachukua sheria mkononi
20230820_205316.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom