Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Kweli kila Mtu ana ukichaa wake, timu zisizokujua zinakupumbaza akili hadi kuwaita Binadamu wenzio mmbwa ilihali hata wachezaji, kocha na bodi ya hiyo timu unayoishabikia haikujui?Mbwa ninymlijazana kwenye page ya Utd kumbe na niny hamna team kabisaaaa
![]()

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app





