Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
...hahaaa, alitaka wamuachie upenyo, kweli leo moureen amekutana na kontena la kijerumani, maana lile la kwake ni la kichina.
Hilo la kichina kz Yake mnaijua!
...hahaaa, alitaka wamuachie upenyo, kweli leo moureen amekutana na kontena la kijerumani, maana lile la kwake ni la kichina.
Aksante dada yngu ila Ka moyo kanauma! Maana jirani zangu wanaowaza kuinua ndoo ya Maji msimu huu Jana mchana na juzi walikua kimyaaaa!
ha ha ha hana presha; leo tunachukua pointi zetu 3; itakuwa mechi ya 8 mfululizo; WWWWWWWW.
ndugu yangu spurs nduguzo wa london washapokea zao nishakuambia mziki huu wa city uache tu utakufa bure..Dada yng mi niko pouwa kabisa! Jana big Sam kashirikiana na Mzee Wenger kunifanyia ubanizi!
Vinalinda Goli mpk nimekosa kufunga! Yani vibishi kweli vigonga nyundo!
Hongera kwa point 3,dawa ya anayepaki bus ni kupaki bus
mwenzio mou anawaza how he can stop city strikers manguli wenu wamekula 9 hawataki kabisa kuiona city uzeee usipime endelea tu kujipa moyo..
ndugu yangu spurs nduguzo wa london washapokea zao nishakuambia mziki huu wa city uache tu utakufa bure..
na tarehe 3 lazime mkalie tuuuuu! tena ni kuanzia nne kwenda juu!