Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hao wote mliowapiga hawana mkakati! Subiri dawa yko inakuja!

hata the london hammers hawana mkakati kabisa.. mkuu uwe unakubali ukiona watu wanakuzidi kila kitu chengine zaidi ya ramiles na oscar sijaona mchezaji mwengine wa chelski mkali..
 
Manuel Pellegrin (MP) anajua jumatatu anacheza na nani?
Sisi ni timu inayopenda kushinda mechi kubwa; tunapenda kuwafunga wababe; Man City ilikuwa bingwa wa Uingereza mwaka 2012. Lakini msimu huo walikuwa wametolewa mapema sana kwenye mashindano ya mabingwa wa Ulaya(Champions League). Sisi tulikuwa wa 6 kwenye ligi lakini tukawanyoosha na kuwafundisha adabu; Napoli, Benfica, Barcelona na Bayern Munich; wengine mnaisikia tu Chelsea; subirini...
Hao wote mliowapiga hawana mkakati! Subiri dawa yko inakuja!
 
tumeitandika City mechi ya kwanza; magoli saafi kabisa bila makeke wala nini; 2-1.
hatuna cha kupoteza; mtatoa pointi tatu mtake msitake.

clap clap clap clap
Chelsea
clap clap clap clap
Chelsea
clap clap clap clap
Chelsea.:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::whoo::whoo::whoo::horn::horn:
 
Hata mimi kwenye timu yako sijaona mchezaji isipokuwa WANYENYUA VYUMA 11 uwanjani.
:fencing:
 
hata the london hammers hawana mkakati kabisa.. mkuu uwe unakubali ukiona watu wanakuzidi kila kitu chengine zaidi ya ramiles na oscar sijaona mchezaji mwengine wa chelski mkali..


Hata mimi sijaona "wachezaji" kwenye timu yako isipokuwa wanyenyua vyuma 11.

:fencing:
 
hata the london hammers hawana mkakati kabisa.. mkuu uwe unakubali ukiona watu wanakuzidi kila kitu chengine zaidi ya ramiles na oscar sijaona mchezaji mwengine wa chelski mkali..



Najua kelele zako zote hizi ni kujihami mapema!

Subiri tarehe 3 duo mbali uone moto! Ninachofurahi Pellegrine anajua kz kubwa inakuja!
 
Manuel Pellegrin (MP) anajua jumatatu anacheza na nani?
Sisi ni timu inayopenda kushinda mechi kubwa; tunapenda kuwafunga wababe; Man City ilikuwa bingwa wa Uingereza mwaka 2012. Lakini msimu huo walikuwa wametolewa mapema sana kwenye mashindano ya mabingwa wa Ulaya(Champions League). Sisi tulikuwa wa 6 kwenye ligi lakini tukawanyoosha na kuwafundisha adabu; Napoli, Benfica, Barcelona na Bayern Munich; wengine mnaisikia tu Chelsea; subirini...


Huyu ndetichia namuonea huruma sn! Kocha wake mwenyewe Mzee Pellegrine halali kwa kuiwaza game ya Chelsea alafu yeye analeta bla bla hapa?
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndetichia namuonea huruma sn! Kocha wake mwenyewe Mzee Pellegrine halali kwa kuiwaza game ya Chelsea alafu yeye analeta bla bla hapa?

you just wait am sure you will get a suckerpunch. Pia kumbuka unapoenda ni Etihad na sio Villapark au Uptonpark.
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndetichia namuonea huruma sn! Kocha wake mwenyewe Mzee Pellegrine halali kwa kuiwaza game ya Chelsea alafu yeye analeta bla bla hapa?

you just wait am sure you will get a suckerpunch. Pia kumbuka unapoenda ni Etihad na sio Villapark au Uptonpark.
 
Last edited by a moderator:
you just wait am sure you will get a suckerpunch. Pia kumbuka unapoenda ni Etihad na sio Villapark au Uptonpark.



Mkulu ata km ingekua Camp Nou, timu Yangu sio mbwa koko Wa kuogopa ugenini!

Joto la hiyo mechi linazidi kupanda siku hadi siku! Na kikubwa ambacho Dunia nzima inataka kuona ni nini Mourinho atakwenda kufanya Etihad? Kwasababu, everton, spurs, Liverpool, Aresenal, Man Utd wamepita Etihad wamepigwa vibaya! Sasa ni zamu ya Jose!

Unataka kuniambia Hakuna mkakati madhubuti Wa kuikabili city toka kwa Chelsea kutokana na hiyo rekodi? Km city ni mbabe basi mtangazieni ubingwa kua yeye ni bingwa sasaivi! Km hamtaki kumtangaza basi mjue j3 anapingwa! Na tukimkosa basi ni droo!
 
Aise mi napata raha sn kuona watu wanavyo ibeza Chelsea!

Chelsea walikwenda kwao arsenal Mara mbili na wameshinda moja na kupata sare moja!

Tulienda OT na kupata sare! Na Man Utd akaja Darajani akafungwa!

Liverpool na akaja Darajani akafungwa!

Man City na yaye alikuja Darajani tukamfunga!

Tulikua kwao Spurs tukapata sare!

Sasa ni kipi kinawafanya muibeze Chelsea?

Subirini mje muone dawa inavyoingia
 
Mwanafunzi mwenye akili hapendwi na wenzake.
Ukiona timu yako inachukiwa sana ujue iko juu;
Aise mi napata raha sn kuona watu wanavyo ibeza Chelsea!

Chelsea walikwenda kwao arsenal Mara mbili na wameshinda moja na kupata sare moja!

Tulienda OT na kupata sare! Na Man Utd akaja Darajani akafungwa!

Liverpool na akaja Darajani akafungwa!

Man City na yaye alikuja Darajani tukamfunga!

Tulikua kwao Spurs tukapata sare!

Sasa ni kipi kinawafanya muibeze Chelsea?

Subirini mje muone dawa inavyoingia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom