Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Mtamsema sn lkn atabaki kua kiboko yenu!
sie akina nani sana?? MBeya city?
Mtamsema sn lkn atabaki kua kiboko yenu!
Kwa kifupi game ilikua Mbaya ingawa ni moja ya mbinu!
Lkn mpira ulikua haupendezi! Na sisi hua hatupaki gusi namna hiyo! Hua tunachezea mpira sio km wagonga nyundo walivyo fanya!
...hahaaa, alitaka wamuachie upenyo, kweli leo moureen amekutana na kontena la kijerumani, maana lile la kwake ni la kichina.
Mkuu Vp wakata umeme leo? Walishindwa kazi? Au walipigwa shoti mapema?
SEZAE Ntuzu..habari za asubuhi ya leo?
vipi,wajionaje na hali? maana.........
Umesahau gusi la OT hadi mkacheza bila striker?! Maureen ni noma kwa hilo; hivyo asimlaumu big Sam aliyeweza kuharibu kila mipango ya Chelskis. Shots 38, hakuna goli!!
sie akina nani sana?? MBeya city?
Dada yng mi niko pouwa kabisa! Jana big Sam kashirikiana na Mzee Wenger kunifanyia ubanizi!
Vinalinda Goli mpk nimekosa kufunga! Yani vibishi kweli vigonga nyundo!
Mkuu Nzi OT tulicheza mpira bhana hatukupaki basi kivile km wagonga nyundo!
sasa mkuu ulitaka wapaki kama nyinyi?na wao wana kamtindo kao ka kupaki GOGO!
Yote ya yote ligi inazidi ugumu kinapofika kipindi hiki wale wanaoitwa timu ndogo ndio wanakuwa wakubwa kwa mda!bahati mbaya mmemalizana na man chest hair utd maana pale mna uhakika wa point 3 kwani mpk ikifika april atakuwa anashndana na crystal palace.
Siku zote daraja likizingua wanaitwa wagonga nyundo.
Kucheza bila straika yaani, 4-6-0. mfumo huo hata Hispania walicheza kwenye fainali dhidi ya Italia; Hispani wakashinda 4-0 kweye ubingwa wa Ulaya. Huo mfumo tutautumia jumatatu kumlaza Man City. Jumanne asubuhi, hamtatamani kuja kwenye hii thread kama kawaida yenu;
Dada yng mi niko pouwa kabisa! Jana big Sam kashirikiana na Mzee Wenger kunifanyia ubanizi!
Vinalinda Goli mpk nimekosa kufunga! Yani vibishi kweli vigonga nyundo!
Siku zote daraja likizingua wanaitwa wagonga nyundo.
pole sana...ila nimefurahi
Kocha wetu Jose Mourinho amesema hivi; 'But we go there on Monday and Man City are favourites, but the result at the moment is 0-0.'
Yaani City pamoja na kwamba wanacheza kwao; hadi sasa Chelsea 0 - Man City 0.
Tunakuja jumatatu; kaeni tayari mashabiki wa City pamoja na wapambe wao.