Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa ni rasmi
Caicedo to Chelsea Here we go!

HABARI ZA HIVI PUNDE: Moisés Caicedo amesajiliwa Chelsea rasmi hivi punde! Makubaliano yamefikiwa na kufungwa sasa hivi - itakuwa na ada ya uhamisho ya rekodi ya Uingereza #CFC£115m pamoja na addons. Pia kutakuwa na kifungu cha mauzo kilichojumuishwa kwa Brighton. Vipimo vya matibabu vimeandaliwa tayari. Caicedo atatia saini mkataba wa miaka nane hadi Juni 2031 na chaguo la nyongeza ya hadi 2032.


@FabrizioRomano

BREAKING: Moisés Caicedo to Chelsea, here we go! Agreement reached and sealed right now — it’s gonna British record transfer fee #CFC£115m fee plus sell-on clause included for Brighton. Medical tests, booked. Caicedo will sign until June 2031 with option until 2032.

View attachment 2716682

Imeisha hiyo. Ikiwezekana aanze mazoezi leo leo apewe jukumu chap. Awasiliane na Enzo ampe koba wake wa no 6 chap

Arsenal this time hamtufungi nje ndani aisee ule uteja wa msimu ulioisha hakuna tena
 
Nyie chelshit mmekutana na kiwete mwenzenu Liverpool mkatoa sare mkaona mkajiona mko vizuri eti?

Hiyo mechi ya Jana mlitakiwa mshinde Tena kwa zaidi ya magoli 2.Shida zenu za last season bado ziko pale pale acheni kujidanganya eti mna kikosi kizuri.
 
Mkikutana na hizi timu hapa chini hakuna alama mtakayopata
👇👇👇
Arsenal
Manchester City
Manchester Utd
Newcastle
Brighton
Brentford
 
MAONI YANGU KUHUSU MCHEZO WA JANA.

Jana tumeshuhudia kwa mchezo wetu wa kwanza katika ligi kuu Uingereza na binafsi nilipata wasaa wa kuangalia na kufuatilia katika dakika zote 90. Itoshe kusema kwa sasa kuna mabadiliko makubwa mno katika klabu yetu, ile hali ya upambanaji ambayo tulikosa msimu ulio pita kwa sasa unaiona kabisa. Wachezaji karibia wote wamecheza vizuri, ni kuna makosa madogo madogo tu nadhani ata mwalimu ameyaona.

Enzo ni mchezaji haswa ujio wa Caisedo utamfanya huyu awe hatari zaidi, Enzo ata namba 10 anacheza jana kaonyesha kiwango cha juu sana. Jackson ni mtu bhana yaani anakaa sehemu sahihi ambapo mpira ukija unamkuta yupo, huyu jamaa namtabiria kufunga magoli kuanzia 20 msimu huu. Sterling jana kacheza vizuri ila bado ni takataka tu. Mjumuiko wa Silva na Disasi ni hatari sana wote wazuri sana yaani, ila kwa jana beki zetu zilikuwa zinakatika sana. Ndio maana tunahitaji DM kama Caisedo na taarifa zinasema kila kitu tayari. Ujio wake utafanya beki zetu zitulie zaidi.

Gallagher jana kacheza vizuri aendelee kukaza zaidi, ma kapteni wetu wako vizuri sana hapa tuwaombee tu majeraha yawapite mbali. Mudryk sio wa kupewa dakika 10 tu inabidi apewe dakika zaidi, yaani kwa dakika alizo cheza kaonyesha madhara zaidi kuliko Sterling. Ila nimeumia kutopata ushindi maana wale jamaa tulikuwa tumeisha washika na walikuwa wameingia kwenye mfumo kabisa.

So far tuko vizuri sana kwa sasa, Poch ana kitu aisee.
 
Jana angecheza Mudryk tangu mwanzo tungefunga magoli mengi WHY

Enzo jana aliwavuta Gakpo na Diaz ndani ya uwanja kumzuia asiweze kutoa zile through passes na kwa kufanya hivyo Sterling akawa huru kitu ambacho naye alimsababishia Robertson kucheza out of position na kumfanya James aonekana kama ni Wing back kumbe alikuwa ni RB tu. James alikuwa huru sana jana. Hope kocha atamuamini Mudry ampe dk za kutosha
 
Mbona caisedo hatambulishwi tu jamani
Caicedo yupo London

Ujinga waliofanya Liverpool ,wameufanya tena kwa Lavia ,wamekubaliana na soton wametoa £60m

Je hii sio panic buy baada ya mech ya Jana?
20230814_110914.jpg
 
Caicedo yupo London

Ujinga waliofanya Liverpool ,wameufanya tena kwa Lavia ,wamekubaliana na soton wametoa £60m

Je hii sio panic buy baada ya mech ya Jana?View attachment 2716998
Breaking: Liverpool have agreed a £60M deal to sign Romeo Lavia from Southampton. They must still convince him to choose them over #Chelsea.

[via Jacob Steinberg]

ℹ️MORE: @Chelsea_fc_worldwide

Wanetu wameyaanza tena.
Watayaweza kweli???
Let's keep waiting
 
Caicedo yupo London

Ujinga waliofanya Liverpool ,wameufanya tena kwa Lavia ,wamekubaliana na soton wametoa £60m

Je hii sio panic buy baada ya mech ya Jana?View attachment 2716998
Kuna sehemu kwenye twitter uzi wao nimekoment hivyo hivyo wanarudia kosa kama la Caicedo. PANIC BUY
Unaweza usishangae Chelsea wameshaongea na mchezaji ndio maana wakatangulia huko juu
Lavia tayari yuko London na nasikia ameandaa party na marafiki zake ya kuhamia Chelsea. Joe Shields ameshamshawishi juu ya project ya Chelsea na inaweza ikawa ameshakubali. Sasa hawa kuku wataendelea kuwa kuku tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom