Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huu ujinga wa LivaKUKU wa kupandisha bei sio mzuri
Breaking: Liverpool have agreed a £60M deal to sign Romeo Lavia from Southampton. They must still convince him to choose them over #Chelsea.

[via Jacob Steinberg]

MORE: @Chelsea_fc_worldwide

Wanetu wameyaanza tena.
Watayaweza kweli???
Let's keep waiting
 
Humu Kuna ngonjera Sanaa mnajitekenya halafu mnacheka🤣🤣🤣 wenyewe
1692008686902.png
 
Katika kitu ambacho wapinzani wetu wanatakiwa wasali sana mchana na usiku ni THE BLUES isitulie uwanjani.

Kwa sababu ikitulia na kuanza kushinda makombe hakika chini ya umiliki wa bank ya Marekani tutaendelea kuchukua makombe mfulilizo.
Haha nacheka sana eti bank ya marekani maana pesa zakuchota tu wakizingua hata huyo LAVIA ANAPIGWA 80
 
Ni wivu tu unawasumbua, na baada ya mrussia kuondoka walidhani tutakuwa dhaifu kwenye usajili. Badala yake ndio tumekuwa hatari zaidi huko sokoni, toka tajiri miluzi aingie katika madirisha yote ya usajili ni ana sajili tu.
Kweli kabisa Chelkenge mmekua hatari sana sokoni ila uwanjani ni warembo tu, sisi tunaendelea tu kupiga dua ili tawi la Mloganzila hapo stamfodi briji liendelee kupokea wateja wapya kenge nyie.
Screenshot_20230419_113139.jpg
 
Liva anachofanya ni kuongeza bei ya mchezaji kutukomoa, inamaana Lavia now ukitaka kumchukua si chini ya 60.
Inaongezwa 60,000,001 kama Arsenal alivyowahi kuongeza kwa Luis Suarez walipoambiwa na Liverpol waongeze juu ya 40m. Kama tayari mmeshakubaliana na mchezaji hakuna kuongeza dau kubwa wewe unacheza tu na paund 1 au 2
 
Kweli kabisa Chelkenge mmekua hatari sana sokoni ila uwanjani ni warembo tu, sisi tunaendelea tu kupiga dua ili tawi la Mloganzila hao stamfodi briji liendelee kupokea wateja wapya kenge nyie. View attachment 2717089
Kama timu yako imesajili vizuri hamna haja ya kuwa na hofu kwa hii Chelsea unayoiona mbovu. Subiri muda wako wa dozi ufike upate vidonge vyako ukapumzike
 
Sina uhakika kama kweli chelsea inamtaka lavia target yao kubwa ilikuwa Caicedo media nyingi zinadai kuwa chelsea inafanya mzungumzo na lavia ila sijaona Romano akitoa taarifa hiyo
 
Kama timu yako imesajili vizuri hamna haja ya kuwa na hofu kwa hii Chelsea unayoiona mbovu. Subiri muda wako wa dozi ufike upate vidonge vyako ukapumzike
Chelsea nyie ni wenetu sana tu, ndio maana hua hatuchoki kuwaombea dua.
Mtu ambae alikua anatusumbua ni Drogba tu, ila hawa kina Wacko Jacko na Kuku Lela hata wakicheza uchi hawatutishi.
Chelsea hivi sasa tunaichukulia kama kikundi cha waimba Reggae.
Screenshot_20230105_120911.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom