Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Still siwezi kuipima Chelsea kwenye mechi dhidi ya liver mkuu, Kwani Kati ya msimu huu na uliopita upi mna team nzuri? Nadhani jibu ni huu

Je mlikuwa mnaweza vipi kutoa suluhu dhidi ya Liverpool ambayo iko vizuri almost mechi 5? So mechi ya Chelsea na liver always waga iko hivi hivi, ni sawa tu na City Vs totenham
Sorry mkuu lakini kila kitu kipya, historia huwa ina circumstances
  1. Wachezaji wapya
  2. Kocha mpya
Hiyo hypnoses hawezi fanya kazi hapo kwa sababu ya circumstances tofauti kabisa
 
Boehly mwaga hizo hela leta Caicedo n Lavia, huyu ndio Enzo anayejulikana sasa.

Jackson,He is Special, hakuogopa kufanya battle na van dijk n konate


Tukimpata Caicedo, akawa pair na Enzo tutakuwa na kiungo bora kabisa.

Naona mabadiliko kutoka msim uliopita na huu,Hii ndio mentality tunayotaka kuiona
 
Sanchez leo kaanza na blunder ya kijinga kwenye miguu yake, Asije akwa Mendy wa kizungu huyu
 
1691952144421.png
 
Chelsea kumsajili Moises Caicedo kwa kitita cha £115m (inayoaminika kuwa £100m+15m) sasa inakamilishwa na kipengele cha kumuuza juu yake. Vyanzo vya habari vinaonyesha kuwa dili liko karibu sana. Chelsea wanataka kufanya vipimo vya afya ndani ya saa 48 kama wanaweza.

Chelsea to sign Moises Caicedo for £115m package (believed to be £100+15m) is now being finalised with a sell-on clause on top. Sources indicate a deal is imminent. Chelsea want to do the medical within 48 hours if they can.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom