Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea kumsajili Moises Caicedo kwa kitita cha £115m (inayoaminika kuwa £100m+15m) sasa inakamilishwa na kipengele cha kumuuza juu yake. Vyanzo vya habari vinaonyesha kuwa dili liko karibu sana. Chelsea wanataka kufanya vipimo vya afya ndani ya saa 48 kama wanaweza.

Chelsea to sign Moises Caicedo for £115m package (believed to be £100+15m) is now being finalised with a sell-on clause on top. Sources indicate a deal is imminent. Chelsea want to do the medical within 48 hours if they can.


Hii ni habari mpyaa
 
Yule chill
Angalia lile goli alilokosa Jackson, buildup ilikuwa nzuri sana na James ni bonge la mchezaji, tuwe tunamuombea asipatwe na majeruhi
Pia Chilwell kwenye offesive is very better tena sana. Leo angekuwa refa mwingine angetupa penalty na lile goli la kuotea alicheza vizuri sana. Ni hazina kuwa na Chilwell na James wasio na majeruhi kwenye timu
Liva kuku aka kuku kishingo ilikuwa lazima afe leo , sema tu zile nafasi za mudyrk na Jackson tulizokosa , Liva kuku alikuwa anabondwa leo .

Nimependa jinsi vijana walivyokaza na kucheza fresh baada ya kuku kishingo kufunga goli .Ghalagher naona anabadilika pia , kujitahidi sana kuwavuruga liver pool pale kati
 
1691960261261.png
 
Sasa ni rasmi
Caicedo to Chelsea Here we go!

HABARI ZA HIVI PUNDE: Moisés Caicedo amesajiliwa Chelsea rasmi hivi punde! Makubaliano yamefikiwa na kufungwa sasa hivi - itakuwa na ada ya uhamisho ya rekodi ya Uingereza #CFC£115m pamoja na addons. Pia kutakuwa na kifungu cha mauzo kilichojumuishwa kwa Brighton. Vipimo vya matibabu vimeandaliwa tayari. Caicedo atatia saini mkataba wa miaka nane hadi Juni 2031 na chaguo la nyongeza ya hadi 2032.


@FabrizioRomano

BREAKING: Moisés Caicedo to Chelsea, here we go! Agreement reached and sealed right now — it’s gonna British record transfer fee #CFC£115m fee plus sell-on clause included for Brighton. Medical tests, booked. Caicedo will sign until June 2031 with option until 2032.

1691963800854.png
 
Lavia to Chelsea: Done Deal (Joe Shields amefanya kazi kubwa sana)
Nasikia Lavia naye kumbe alishahamia London kuzoeana na marafiki tarajiwa wa Chelsea
Tangazo litatangazwa muda wowote
Liverpool wao wameamua kwenda Real Madrid kumuulizia Tchoameni na tusishangae Real Madrid wakisema dau ni £111m bila kupungua
1691966116093.png
 
Sasa Chelsea ni Title Contender na top 4 ni yetu

-------------------------- Jackson/Broja ------------------------------

Mudryk/Nkunku ------- Enzo/Chukwuemeka ------------Maatsen/Madueke

------Caicedo/Santos ---------------Lavia/Galagher -----

Chilwell/Cucurella ---Colwill/Badiashile-----Silva/Disasi -----James/Gusto

-----------------------------Sanchez/Costa------------------------
 
Alexander-Arnold: "
Tulijiandaa kwa Chelsea kucheza 4-3-3 lakini wakapanga mabeki watatu au watano huko nyuma, vyovyote unavyoita, lakini walifanya iwe ngumu kwetu kucheza na wakakaba kwa juu sana. tulicheza vizuri kwa dakika 20 lakini hatukuweza kuendelea na walichukua udhibiti."
 
Pochettino mjanja aisee
Kaiambia SkySport kuwa formation ilikuwa ni 4-2-3-1
Colwill alicheza kama LB ili kumzuia TAA asilete madhara na Chilwell alicheza kama winga na hivyo ikaonekana kama ni Backline 3 lakini ilikuwa ni backline ya 4
Kwa hiyo ilikuwa hivi

-----------------Jackson --------------------

Chilwell -------Chukwuemeka ---------Sterling

--------Enzo ----------------Galaghjer--------

Colwill ---------Silva -------Disasi ------James

--------------------Sanchez------------------

Na wakaingizwa bwege kweli hata TAA alipohojiwa alidai hjivi

Alexander-Arnold: "
Tulijiandaa kwa Chelsea kucheza 4-3-3 lakini wakapanga mabeki watatu au watano huko nyuma yaani 3-4-3, vyovyote unavyoita, lakini walifanya iwe ngumu kwetu kucheza na wakakaba kwa juu sana. tulicheza vizuri kwa dakika 20 lakini hatukuweza kuendelea na walichukua udhibiti."
 
Chelsea tunaongoza sasa kwa matumizi EPL tumempiku Arsenal wenye £203m
  1. Moises Caicedo — £115m
  2. Christopher Nkunku — £52m
  3. Axel Disasi — £38m
  4. Nicolas Jackson — £32m
  5. Lesley Ugochukwu - £23m
  6. Kendry Paez — £17.5m
  7. Angelo — £13m
  8. Overall — £290.5m
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom