Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Medical test complete
Screenshot_20230814_143738_X.jpg
 
Sports Zone are reporting that Crystal Palace’s Michael Olise (21) has agreed personal terms over a return to Chelsea, and prefers a move to Stamford Bridge over a move to Manchester City.
 
Chelsea must therefore continue to work to find an agreement with Crystal Palace, but an agreement on personal terms has now been reached with the player. Despite Manchester City’s interest, Olise is set on a return to Chelsea, where he came through the academy before departing for Reading at under-14 level.

GFFN | Luke Entwistle
 
Ni wivu tu unawasumbua, na baada ya mrussia kuondoka walidhani tutakuwa dhaifu kwenye usajili. Badala yake ndio tumekuwa hatari zaidi huko sokoni, toka tajiri miluzi aingie katika madirisha yote ya usajili ni ana sajili tu.
Tukimaliza wachezaji wanaotakiwa na Pochetino tutafikisha Pauni 1BN katika madirisha mitatu ya Boehly tangu achukue usukani
 
Liverpool agree £60m deal with Southampton on Lavia & yet to convince the player
2 hours ago / WangSky
According to the Guardian, The Liverpool have agreed £60m deal to sign Lavia with Southampton but yet to convince the player


Liverpool have agreed a £60m deal to sign Romeo Lavia from Southampton. They must still convince the midfielder to choose them over Chelsea.
 
Liverpool agree £60m deal with Southampton on Lavia & yet to convince the player
2 hours ago / WangSky
According to the Guardian, The Liverpool have agreed £60m deal to sign Lavia with Southampton but yet to convince the player


Liverpool have agreed a £60m deal to sign Romeo Lavia from Southampton. They must still convince the midfielder to choose them over Chelsea.
Lavia anapenda kuja Chelsea, Kazi ipo
Lavia ni mtoto wa Joe Shields, yeye ndie alimsajili akiwa Soton
 
Yule chill
Angalia lile goli alilokosa Jackson, buildup ilikuwa nzuri sana na James ni bonge la mchezaji, tuwe tunamuombea asipatwe na majeruhi
Pia Chilwell kwenye offesive is very better tena sana. Leo angekuwa refa mwingine angetupa penalty na lile goli la kuotea alicheza vizuri sana. Ni hazina kuwa na Chilwell na James wasio na majeruhi kwenye

Chelsea inaenda kuwa timu ya blacks , full niggas in the house , na wanijetia kama wote Madueke,Ogochukwu , Chukwuemeka , Olise ,hahaaaa 😄😄😄😄
Sports Zone are reporting that Crystal Palace’s Michael Olise (21) has agreed personal terms over a return to Chelsea, and prefers a move to Stamford Bridge over a move to Manchester City.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom