Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mara ya kwanza nilipoanza kutoa taarifa za Caicedo kuikataa Liverpool na kwamba Chelsea wanakuja kujitetea nilitukanwa yeye na mwenzake Pension ambaye baadaye alikubali baada ya kuona facts

Huyu yeye sijui hasomi habari za duniani, akaendelea hadi sasa hakubali, utajua tu kasalimu amri akihamisha mada. Ubishi wake sasa ni kumtambulisha. Hata tusipomtambulisha tayari ni mchezaji wetu
Tambulisha mchezaji wewe usipomtambulisha anachezaje sasa hivi unajua mpira kweli wewe eti hata tusipomtambulisha ni mchezaji wetu 🤣🤣🤣🤣
 
Moises Caicedo Karibu Chelsea
Moises Caicedo amesifiwa kwa jinsi alivyoshikilia msimamo wake kuipiga chini Liverpool na kuheshimu ‘makubaliano’ ya kujiunga na Chelsea.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 anaondoka Brighton baada ya kujiunga Februari 2021. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ecuador alicheza mechi nane katika kampeni za 2021-22. Baada ya kukubali mkataba wa mkopo wa msimu mzima kwa Beerschot ya ligi kuu ya Ubelgiji, aliitwa tena Amex mnamo Januari 2022.

Na Mmarekani huyo wa Kusini alionyesha kile anachoweza kufanya muhula uliopita, na kuwa mchezaji wa timu ya kwanza kwa mechi 37 za Premier League.
Tambulisheni mchezaji kelele nyingiiiiiii sana tunajua anaondoka kuja kwenu haya mtambulisheni basi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kunyweni maji mengi,, pyenga likilia Kuruta wa chelsea msianze kulia lia.
1691915203883.jpg
 
Twende na 4-2-3-1 Vs Liverkuku

------------------ Jackson --------------

Mudyk - Chukuemeka - Paparazi

------ Mpira Vurugu - Enzo ----------

Chilwell - Colwill - Silva - James

Mpira vurugu, Chukuemeka, Paparazi hawastahili kuanza 1st eleven, ila ndio hivyo hatuna option.

Tukakamilishe sajili za kimkakati tuwe na 1st eleven bora ya kupambania top 4.

Mechi ya leo 50/50.
Huyo paparazi akiacha tu ujinga wake wa kukaa na mpira hadi anyang'anywe ni winga mzuri
Natamani hapo kwake angecheza Angelo au Maatsen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom