Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hao Midfielders wako wapi ,ukitoa Caicedo, Lavia unawapata wavunja kuni tu

Ndio Maana top teams zote zimekuwa zikiweka kambi kwa Lavia na Caicedo ,

Thus why namshangaa ten hag anahangaika na Amrabat,
10 hag hana pesa ya compete hiyo bidding war ya hao watu

Afu hayuko vibaya hivoo caisedo ndo nilitaman 10 hag amu approach but its impossible 110m+ ambrat atatosha kama cover up ya casemiro au kama double pivot
 
1691948354021.png
 
Hao Midfielders wako wapi ,ukitoa Caicedo, Lavia unawapata wavunja kuni tu

Ndio Maana top teams zote zimekuwa zikiweka kambi kwa Lavia na Caicedo ,

Thus why namshangaa ten hag anahangaika na Amrabat,
Yule nae hakunankitu pale
 
Ushabiki pembeni hawa Chelsea wanatisha nimetoka kumwambia mtu hawa jamaa wakimaliza hizo dili lavia caisedo olise plus nkuku akirudi from injury nawa count top 4 must

Shida yao sio midfielders au attack Chelsea defense kidogo ipo reasoning na wanaweza kuwa exposed na lethal elite teams
Nazungumzia timu zenye elite wings hatari kama brighton Newcastle arsenal man utd
Popote kwenye mpira wa kileo, defense kuwa expose ni udhaifu wa mid by 80%
Ukiwa na Dm wazuri kazi ya mabeki inakuwa ndogo na wanaweza kuplan kukaba, ila kama mid wanaachama tu, defense lazima wazidiwe
 
Kuja lazima aje
Umesahau isue ya Raphinha na Kopunde. Baada ya wachezaji kusema wanaipenda Barcelona, ndi process ikawa slow wee klwa sababu Barcelona ilikuwa wakusanye kusanye vichenji ili waweze kulipa

Na sisi hivyo hivyo
Kimsingi Brington wamekubali bidi ya paini 100m + 15m ya addons
Changamoto ni makubaliano ya muundo wa malipo
Chelsea wanataka walipe kwa awamu nyingi, Brighton wamekataa, sasa Chelsea wataendelea kubargain huku wakipoteza muda ili tuuze wachezaji
Yupo Galagher, Odoi, Lukaku, Ziyech, hata ikibidi baadhi ya academy. Pia kutafuta utaratibu mwingine
Hakuna haja ya kununua Lavia. Calagher asiuzwe. Tumnunue Caisedo na forward mmoja ambaye anaweza kucheza namba 10 na wing
 
Popote kwenye mpira wa kileo, defense kuwa expose ni udhaifu wa mid by 80%
Ukiwa na Dm wazuri kazi ya mabeki inakuwa ndogo na wanaweza kuplan kukaba, ila kama mid wanaachama tu, defense lazima wazidiwe
Hili umeongea kweli, Liverpool ya 2019 sio kama ya sasa yaani mido iko exposed ndio maana naona akina VVD na Konate wanahangaika tu huko kukimbizana na Reece na Chilwell
 
Yaani kafunika, ngoja aje Caocedo, watatukoma. Hii Mid ya Enzo, Chukwuemeka na Galagher imewahemesha Liver je angekuwepo Caicedo?
Mkuu kumbuka mna msimu karibu wa 3 huu matokeo Kati ya liver na Chelsea ni suruhu Tu haijarishi yupi ana team nzuri au mbaya

Kwahiyo sidhani kama leo ilikuwa kipimo kizuri cha wachezaji wenu, though mmecheza vizuri, inawezekana ata angecheza nani hapo Kati Kati still matokeo yangekuwa the same
 
Mkuu kumbuka mna msimu karibu wa 3 huu matokeo Kati ya liver na Chelsea ni suruhu Tu haijarishi yupi ana team nzuri au mbaya

Kwahiyo sidhani kama leo ilikuwa kipimo kizuri cha wachezaji wenu, though mmecheza vizuri, inawezekana ata angecheza nani hapo Kati Kati still matokeo yangekuwa the same
Pressing ya leo tofauti na msimu uliopita, mentality ya leo unaiona waziwazi ni Chelsea mpya. Chemistry ikishajengwa wakaizoea EPL na London nawaambia Chelsea itakuwa moto. Bado Caicedo, Bado Nkunku, Bado hajaja Olise
 
Pressing ya leo tofauti na msimu uliopita, mentality ya leo unaiona waziwazi ni Chelsea mpya. Chemistry ikishajengwa wakaizoea EPL na London nawaambia Chelsea itakuwa moto. Bado Caicedo, Bado Nkunku, Bado hajaja Olise
Still siwezi kuipima Chelsea kwenye mechi dhidi ya liver mkuu, Kwani Kati ya msimu huu na uliopita upi mna team nzuri? Nadhani jibu ni huu

Je mlikuwa mnaweza vipi kutoa suluhu dhidi ya Liverpool ambayo iko vizuri almost mechi 5? So mechi ya Chelsea na liver always waga iko hivi hivi, ni sawa tu na City Vs totenham
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom