Mahaba niue kama timu zote hizi hazitasajili vizuri hakuna wa kugusa top 5Sasa Liverpool anayejinasibu title Contender anacheza hivo,
Mahaba niue kama timu zote hizi hazitasajili vizuri hakuna wa kugusa top 5Sasa Liverpool anayejinasibu title Contender anacheza hivo,
Baada ya goli la Salah la Offside, Livakuku wameishiwa pumzi na bado Mudryk hajaingia awakimbize mchakamchakaTunawadunda kweli kweli leo
Kama sio 5 basi 6
Bila caisedo kiungo chetu hakika kitakuwa hovyo sana maaana huyo caraga hakuna kitu kabisaKuja lazima aje
Umesahau isue ya Raphinha na Kopunde. Baada ya wachezaji kusema wanaipenda Barcelona, ndi process ikawa slow wee klwa sababu Barcelona ilikuwa wakusanye kusanye vichenji ili waweze kulipa
Na sisi hivyo hivyo
Kimsingi Brington wamekubali bidi ya paini 100m + 15m ya addons
Changamoto ni makubaliano ya muundo wa malipo
Chelsea wanataka walipe kwa awamu nyingi, Brighton wamekataa, sasa Chelsea wataendelea kubargain huku wakipoteza muda ili tuuze wachezaji
Yupo Galagher, Odoi, Lukaku, Ziyech, hata ikibidi baadhi ya academy. Pia kutafuta utaratibu mwingine
We pumbavu refa hakuwa na sauti kwenye hilo goli la offsideNyie wapumbavu refa kawaokoa ilikua iwe 0-2 lkn Salah atarudi tena
Jidanganye tu ,tatizo la manjesta tuwe wa kweli ni mwalimu wenu ,angalia sajili zenu za ujanja ujanja SanaHio mid itaonekana atakapocheza na arsenal hapo Emirates
Mechi ya 5
Ndio Maana nacheka Sana mtu akiniambia Liverpool atamchallenge mancityLiva kati ni uchochoro yani mac alister ndo 6 false dm false 8
Hapa ndipo tunapo ona why liva wamekuwa wagumu kujitoa kwenye dili la lavia na caisedo
Chemistry bado, mechi kama hizi ndizo zitawaweka mwangani wajue namna ya kushirikiana na kocha pia ajue ni nani na nani wafanye muunganikoBackline ipo scattered sijui shidani nini.
Leo liver wanaexpose madhaifu ya back line yetu.
Liverpool threats ipo on attacking tu ila midfield area ni mtihani they need 2-3 midfielders plust 1 exta cbNdio Maana nacheka Sana mtu akiniambia Liverpool atamchallenge mancity
Angalia lile goli alilokosa Jackson, buildup ilikuwa nzuri sana na James ni bonge la mchezaji, tuwe tunamuombea asipatwe na majeruhi1st half tumecheza vizuri, tumekosa qualities kwa Gallagher pale katikati.
Sterling amecheza vizuri sana, makosa madogo madogo tuu kama kawaida yake.
Uongo sio kazi, THE BLUES ya msimu huu tunashambulia sana. Magoli yapo
Jamaa Wana kiungo cheupe Sana ,hata DM ndio maana wanakomaa kwa Caicedo, Chelsea kabadilika Sana , wakiongeza Caicedo Lavia wataokota point Sana kwa hiz mid table teamsLiverpool threats ipo on attacking tu ila midfield area ni mtihani they need 2-3 midfielders plust 1 exta cb
Hapo tutawaita potential title contender next to man city Newcastle arsenal man utd Chelsea
Possession 67 kwa 33 inawa expose sana hapo kati eneo la midfield hawakai na maliJamaa Wana kiungo cheupe Sana ,hata DM ndio maana wanakomaa kwa Caicedo, Chelsea kabadilika Sana , wakiongeza Caicedo Lavia wataokota point Sana kwa hiz mid table teams
Ushabiki pembeni hawa Chelsea wanatisha nimetoka kumwambia mtu hawa jamaa wakimaliza hizo dili lavia caisedo olise plus nkuku akirudi from injury nawa count top 4 mustJamaa Wana kiungo cheupe Sana ,hata DM ndio maana wanakomaa kwa Caicedo, Chelsea kabadilika Sana , wakiongeza Caicedo Lavia wataokota point Sana kwa hiz mid table teams
True mkuu ,Mimi nawaangalia hapa 76% kwa 24%Ushabiki pembeni hawa Chelsea wanatisha nimetoka kumwambia mtu hawa jamaa wakimaliza hizo dili lavia caisedo olise plus nkuku akirudi from injury nawa count top 4 must
Shida yao sio midfielders au attack Chelsea defense kidogo ipo reasoning na wanaweza kuwa exposed na lethal elite teams
Nazungumzia timu zenye elite wings hatari kama brighton Newcastle arsenal man utd
Hao Midfielders wako wapi ,ukitoa Caicedo, Lavia unawapata wavunja kuni tuPossession 67 kwa 33 inawa expose sana hapo kati eneo la midfield hawakai na mali![]()
maboss wao FSG wafanye chap afu mbona midfielders wapo kibao sokoni hela yako tu
Leo kajitahidi kucheza vizuri ila sio kama angekuwepo Mudryk au MaatsenKama tumekubali kuanza upya sijui kwa nini bado sterling yupo always poor decision making from senior player