Kwa ubora namuona Tyler Adams kama anamzidi Lavia ila Lavia anamzidi Tyler kwenye majeruhi
Tukimpata Lavia tumeweka stability pale katikati, wote watakua sio injury prone
Lavia yupo mbali kwa viungo wengi unaowajua ,haijawa bahati mbaya Arsenal, manjesta, Liverpool,Chelsea ,baryen , kumtaka ,
Weakness ya Lavia ni timu ikiwa haina mpira hajui kukava nafasi
Unapozungumzia Press resistant Basi Lavia ni mmoja wapo ,Kuna takwimu moja wapo inasema kila press 10 alizofanyiwa ni Mara moja tu ndio alipoteza mpira , Mara ya kwanza nilimuona vs Liverpool pale Anfield alivyocheza vzr ,nikawa mechi za soton naenda kumuangalia , Kuna mech katafute vs Arsenal alimpoteza Sana Partey , na hasa alipokuwa akifanyiwa press .Kwangu Mimi kiungo ambaye huwez kumpress ni muhimu sababu mnakaa na mpira .
Lavia kwa umri wa 19yrs ndio Maana haijawa surprise kugombewa na top teams kubwa karibu zote ,Lavia ni Copy ya Partey ,anahitaji maboresho kwa umri wake ule ana room yakujifunza , kwa Pochetinho yupo mikono salama.
Kama mnampata Lavia , Caicedo na Enzo ,Sasa mtakuwa na kiungo kizuri Cha miaka 10+