Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nyie mazulumati hivi hapo darajani wachezaji wenu mnawalishaga nini mbona miguu yao imelegea sana kama wamemwagiwa mlenda?
Huyo Freemason na Harvez golini hata wakibaki wenyewe tu miguu inatetemeka hata kupiga shuti hawawezi wanaishia kutoa pasi kwa kipa.
Wajaa laana nyie njooni mchukue mafurushi yenu mturudishie pesa zetu.
 
Nyie mazulumati hivi hapo darajani wachezaji wenu mnawalishaga nini mbona miguu yao imelegea kama wamemwagiwa mlenda?
Huyo Freemason na Harvez golini hata wakibaki wenyewe tu miguu inatetemeka hata kupiga shuti hawawezi wanaishia kutoa pasi kwa kipa.
Wajaa laana nyie njooni mchukue mafurushi yenu mturudishie pesa zetu.
HII IMEENDA!

Tulijua ni Suala la Muda tu. Tuliwaambia mkatubeza. Pambaneni naoo
 
HII IMEENDA!

Tulijua ni Suala la Muda tu. Tuliwaambia mkatubeza. Pambaneni naoo
Muda wowote kuanzia sasa kuna sheria mpya inataka kupitishwa England, inaelezea kufanya biashara yoyote na Chelsea itatambulika kama ni biashara haramu.
Mancity nao wameshaanza kulia na Kovacic, kwenye jukwaa lao tokea jana wameanzisha maombolezo ya kuondokewa na Gundogan
 
Muda wowote kuanzia sasa kuna sheria mpya inataka kupitishwa England, inaelezea kufanya biashara yoyote na Chelsea itatambulika kama ni biashara haramu.
Mancity nao wameshaanza kulia na Kovacic, kwenye jukwaa lao tokea jana wameanzisha maombolezo ya kuondokewa na Gundogan
 
Kuna vitu tunapika hapa darajani ila watani wetu kama akina Livakuku, Arse8, Amnure wanajifanya hawaoni wala hawajui

--------------------Jackson/Dusan--------------------------

Mudryk/Nkunku-------Maatsen/Chukwuemeka -------Madueke/Olise

------------Enzo/Tyler -------------- Caicedo/Santos--------------

Chilwell/Cucurella ----Colwill/Badiashile ----Silva/Axel ----James/Malo

------------------------Kepa/Sanchez----------------------------
 
Muda wowote kuanzia sasa kuna sheria mpya inataka kupitishwa England, inaelezea kufanya biashara yoyote na Chelsea itatambulika kama ni biashara haramu.
Mancity nao wameshaanza kulia na Kovacic, kwenye jukwaa lao tokea jana wameanzisha maombolezo ya kuondokewa na Gundogan
Bado tuna wakaribisha tena mje tufanye biashara wachezaji bado wapo wengi tunauza
 
Vp tuwauzie Cucurella? Atawasaidia sana maana anapanda na ana miguu yote ya kushoto
Nishasema biashara yoyote inayofanywa na Chelsea ni biashara haramu, tena huyo Kuku sio hata kuku ni kware kabisa.
FA nasikia wanampango wa kuwafungia kuuza wachezaji maana malalamiko yamekua ni mengi sana kwa timu zote zilizonunua wachezaji kutoka kwenu.
 
Nishasema biashara yoyote inayofanywa na Chelsea ni biashara haramu, tena huyo Kuku sio hata kuku ni kware kabisa.
FA nasikia wanampango wa kuwafungia kuuza wachezaji maana malalamiko yamekua ni mengi sana kwa timu zote zilizonunua wachezaji kutoka kwenu.
Mbona sisi wametuuzia MVP wao Kai havertz anafanya vzr kwetu, nyie ndio mmetapeliwa kwa mount
 
Mbona sisi wametuuzia MVP wao Kai havertz anafanya vzr kwetu, nyie ndio mmetapeliwa kwa mount
Kai ni vile wewe ni kipenzi chako tu kama ilivyo mimi kwa Masebene ndio maana unajitahidi sana kumpigapiga makeup aonekane nae ni pisikali hata kama hana tako.
Huko Uingereza naskia kuna mpango wa maandamano nchi nzima kupinga biashara za kitapeli zinazofanywa na club ya Chelsea.
Timu zote walizonunua wachezaji toka Chelsea mashabiki wao wanalia na kusaga meno.
 
Kai ni vile wewe ni kipenzi chako tu kama ilivyo mimi kwa Masebene ndio maana unajitahidi sana kumpigapiga makeup aonekane nae ni pisikali hata kama hana tako.
Huko Uingereza naskia kuna mpango wa maandamano nchi nzima kupinga biashara za kitapeli zinazofanywa na club ya Chelsea.
Timu zote walizonunua wachezaji toka Chelsea mashabiki wao wanalia na kusaga meno.
Dah ,
 
Kai ni vile wewe ni kipenzi chako tu kama ilivyo mimi kwa Masebene ndio maana unajitahidi sana kumpigapiga makeup aonekane nae ni pisikali hata kama hana tako.
Huko Uingereza naskia kuna mpango wa maandamano nchi nzima kupinga biashara za kitapeli zinazofanywa na club ya Chelsea.
Timu zote walizonunua wachezaji toka Chelsea mashabiki wao wanalia na kusaga meno.

Starling yupo mbioni kuja Old tranford.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom