Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Style ya mchezaji kama Wesley Fofana hafai kuwamnchezaji wa Chelsea
Mwaka wa pili anakula mshahara wa bure kwa sababu ya majeruhi ya kijingajinga
Medical team ifumuliwa na ipewe jukuma la kung'amua wachezaji wa naman yake ndipo Chelsea itakaa vizuri
Ona sasa leo mabeki wote waliopo wanacheza, akijeruhiwa mmoja sijui itakuwaje, Labda Poche atarudi kwenye backline ya 4
 
Hichi ndio kikosi cha Chelsea? AISEEEE miaka inakwenda, Hakuna mchezaji anaeeleweka hata mmoja

tutakua wa 7 t0 10 msimu huu
 
Sasa Chelsea wanacheza Kama Wana mwalimu

Poch kocha mzuri ,ila huyu Sterling anawaangusha sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom