Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Backline ipo scattered sijui shidani nini.

Leo liver wanaexpose madhaifu ya back line yetu.
 
Style ya mchezaji kama Wesley Fofana hafai kuwamnchezaji wa Chelsea
Mwaka wa pili anakula mshahara wa bure kwa sababu ya majeruhi ya kijingajinga
Medical team ifumuliwa na ipewe jukuma la kung'amua wachezaji wa naman yake ndipo Chelsea itakaa vizuri
Ona sasa leo mabeki wote waliopo wanacheza, akijeruhiwa mmoja sijui itakuwaje, Labda Poche atarudi kwenye backline ya 4
Malo Gusto na Ian maatsen bado wanaweza kucheza nyuma
 
1st half tumecheza vizuri, tumekosa qualities kwa Gallagher pale katikati.

Sterling amecheza vizuri sana, makosa madogo madogo tuu kama kawaida yake.

Uongo sio kazi, THE BLUES ya msimu huu tunashambulia sana. Magoli yapo
Sterling takataka mpeleken manjesta

Kiukweli sikutegemea mcheze hivi, ongezeko la Caicedo,Lavia mnaenda moja kwa moja kugombea top 4
 
Kwa caisedo kuja Chelsea kma bado kizungumkuti hiv
Kuja lazima aje
Umesahau isue ya Raphinha na Kopunde. Baada ya wachezaji kusema wanaipenda Barcelona, ndi process ikawa slow wee klwa sababu Barcelona ilikuwa wakusanye kusanye vichenji ili waweze kulipa

Na sisi hivyo hivyo
Kimsingi Brington wamekubali bidi ya paini 100m + 15m ya addons
Changamoto ni makubaliano ya muundo wa malipo
Chelsea wanataka walipe kwa awamu nyingi, Brighton wamekataa, sasa Chelsea wataendelea kubargain huku wakipoteza muda ili tuuze wachezaji
Yupo Galagher, Odoi, Lukaku, Ziyech, hata ikibidi baadhi ya academy. Pia kutafuta utaratibu mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom