Hahahaha tunasubiri mumtambulishe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usiwe na shaka kila kitu tayari, kabla ya mechi kila kitu kitakuwa hadharani.
Saa 18:30Mechi ya Chelsea vs liverpool itakuwa muda gani?
Kutambulishwa ni hatua ya mwisho na kabla haijafikiwa lazima vitu vingine vifanyike kwanza. Kung'ang'ana mtambulisheni mtambulisheni kunakufanya watu tukuone wa ajabu. Tunajua wewe ni Liverpool fan so inaonesha namna gani unaumia na kitu mmefanywa. Ila atatambulishwa na sijui utsema nn muda huo.Basi mtambulisheni deal limeisha naona unatuaminisha sana wakati wote humu tunnajua matajiri ambao munawazidi mancity pesa mumemchukua caicedo![]()
Mara ya kwanza nilipoanza kutoa taarifa za Caicedo kuikataa Liverpool na kwamba Chelsea wanakuja kujitetea nilitukanwa yeye na mwenzake Pension ambaye baadaye alikubali baada ya kuona factsKutambulishwa ni hatua ya mwisho na kabla haijafikiwa lazima vitu vingine vifanyike kwanza. Kung'ang'ana mtambulisheni mtambulisheni kunakufanya watu tukuone wa ajabu. Tunajua wewe ni Liverpool fan so inaonesha namna gani unaumia na kitu mmefanywa. Ila atatambulishwa na sijui utsema nn muda huo.
Me huwa sipend kubishana na watu Kama hawa. Hawa jamaa hawaamini macho yao maana wamekataliwa na player halafu wanaanza kumdiss Fabrizio kisa kafichua kuwa wamekataliwa. Yaan unakuja na dau la kuvunja rekod na unakataliwa dah inaumaMara ya kwanza nilipoanza kutoa taarifa za Caicedo kuikataa Liverpool na kwamba Chelsea wanakuja kujitetea nilitukanwa yeye na mwenzake Pension ambaye baadaye alikubali baada ya kuona facts
Huyu yeye sijui hasomi habari za duniani, akaendelea hadi sasa hakubali, utajua tu kasalimu amri akihamisha mada. Ubishi wake sasa ni kumtambulisha. Hata tusipomtambulisha tayari ni mchezaji wetu
Japo kwa Mudryk haiumi sana kama ya Caicedo kwa LiverpoolMAshabiki wa Ars88 wanamchukia Mudryk sababu aliwatosa, sasa ni zamu ya mashabiki wa liva kumchukia Caceido.
Hii imeenda broJapo kwa Mudryk haiumi sana kama ya Caicedo kwa Liverpool
Mudryk hana makosa, Arsenal walikataa kumpigania
Arsenal kwa Mudryk ada yao ilipokataliwa, walisema hatutoi mahela mengi hivyo, pia hawakurudi kwa mchezaji, kwa vile Mudryk yeye alitaka kuja kwenye ligi kubwa kuimarisha taaluma yake, Chelsea walipokuja na dau zuri na ahadi ya mshahara mzuri alikubali kirahisi
So Arsenal wanajilaumu wao wenyewe kwa kumkimbia Mudryk. Wasioelewa scenriao ndio tu watamlaumu Mudryk
Caicedo alipiganiwa sana na Chelsea na ndio iliyompa nguvu na jeuri ya kuikataa Liverpool
Chelsea walimfuata asubuhi Caicedo wakamwambia wewe si unapenda kuja kwetu?
Caicedo akasema ndio
Chelsea wakamuambia basi poa, tulia, wakikufuata waambie mimi nataka kwenda darajani tu na sisi tutakupigania hadi tukuchukue, pia tutakulipa mshahara wa pauni laki 2 na nusu badala ya ile ya mwanzo ya pauni laki mbili.
Tutakupigania hata kama ni kuvunja rekodi ya ada wanayotoa Liverpool
Now Liverpool wamebaki kwenye ffpJapo kwa Mudryk haiumi sana kama ya Caicedo kwa Liverpool
Mudryk hana makosa, Arsenal walikataa kumpigania
Arsenal kwa Mudryk ada yao ilipokataliwa, walisema hatutoi mahela mengi hivyo, pia hawakurudi kwa mchezaji, kwa vile Mudryk yeye alitaka kuja kwenye ligi kubwa kuimarisha taaluma yake, Chelsea walipokuja na dau zuri na ahadi ya mshahara mzuri alikubali kirahisi
So Arsenal wanajilaumu wao wenyewe kwa kumkimbia Mudryk. Wasioelewa scenriao ndio tu watamlaumu Mudryk
Caicedo alipiganiwa sana na Chelsea na ndio iliyompa nguvu na jeuri ya kuikataa Liverpool
Chelsea walimfuata asubuhi Caicedo wakamwambia wewe si unapenda kuja kwetu?
Caicedo akasema ndio
Chelsea wakamuambia basi poa, tulia, wakikufuata waambie mimi nataka kwenda darajani tu na sisi tutakupigania hadi tukuchukue, pia tutakulipa mshahara wa pauni laki 2 na nusu badala ya ile ya mwanzo ya pauni laki mbili.
Tutakupigania hata kama ni kuvunja rekodi ya ada wanayotoa Liverpool
Moja ya watu wa jf wenye info huwa ni weweJapo kwa Mudryk haiumi sana kama ya Caicedo kwa Liverpool
Mudryk hana makosa, Arsenal walikataa kumpigania
Arsenal kwa Mudryk ada yao ilipokataliwa, walisema hatutoi mahela mengi hivyo, pia hawakurudi kwa mchezaji, kwa vile Mudryk yeye alitaka kuja kwenye ligi kubwa kuimarisha taaluma yake, Chelsea walipokuja na dau zuri na ahadi ya mshahara mzuri alikubali kirahisi
So Arsenal wanajilaumu wao wenyewe kwa kumkimbia Mudryk. Wasioelewa scenriao ndio tu watamlaumu Mudryk
Caicedo alipiganiwa sana na Chelsea na ndio iliyompa nguvu na jeuri ya kuikataa Liverpool
Chelsea walimfuata asubuhi Caicedo wakamwambia wewe si unapenda kuja kwetu?
Caicedo akasema ndio
Chelsea wakamuambia basi poa, tulia, wakikufuata waambie mimi nataka kwenda darajani tu na sisi tutakupigania hadi tukuchukue, pia tutakulipa mshahara wa pauni laki 2 na nusu badala ya ile ya mwanzo ya pauni laki mbili.
Tutakupigania hata kama ni kuvunja rekodi ya ada wanayotoa Liverpool
Twitter unatumia jina ganMoja ya watu wa jf wenye info huwa ni wewe
Uko bize kwenye uzi wetu kuliko kwenye uzi wako wa arsenalMoja ya watu wa jf wenye info huwa ni wewe
Uko bize kwenye uzi wetu kuliko kwenye uzi wako wa arsenal

huku nakujaga Mara Moja,huwez kuta nikija humu natukana au kebehi mtu huku nakujaga Mara Moja,huwez kuta nikija humu natukana au kebehi mtu
Mm nafurahia tu mlichowafanya Liverpool



