Matt law shabiki wa Aston Villa, ila ni tier wa 1 kwa habar za chelseaKwa wale wanaotaka kupata taarifa za moto moto kwenye mtandao wa Twitter nawapa ushauri wa bure kama mimi nilivyofanya
Mfano wa Journalist wa kuwafuata
- Kwanza ujue kimombo vizuri vinginevyo itakubidi kila hoja ukitaka kuchangia itakubidi utumie translator kuja kiswahili na baadaye translator kwenda kimombo
- Pili follow wale waandishi wote maarufu na ambao wana followers wengi kuanzia makumi elfu au kama unamjua mwandishi husika. mfano Fabrizio Romano, David O
- Uwe unashiriki kutoa hoja mbalimbali zikiwemo za kutokuwa bias na zile za kishabiki ili kupata attention ya wafuasi wengi
- Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) - mshabiki wa Watford
- David Ornstein, The Athletic - Mshabiki wa Arsenal
- Matt Law, Telegraph - Shabiki mkubwa wa Chelsea
mkuu habari unaokota wapi?Chelsea wameshalipa RC ya Adams na ameshapima mkojo kwa hjiyo anaweza akacheza jpili dhidi ya Liverpool
View attachment 2713706
mkuu siku mbili zilizopita ulikuwa moto sana kwenye jukwaa letu, kulikoni?Paniki ya nini we shoga olise haji Kwa mang'ombe fc
tuna roho mbaya sana,Fair play wanangu Chelsea
Mnabeba na Lavia dah
Acha uoga , mchezaji kashawakataa LiverpoolKuna tatizo, hado sasa Chelsea hawaja weka mezani dau la kumnunua Caicedo

Kupimwa alishapimwa akakutwa anarudi uwanjani baada ya miezi minne ndio maan aChelsea wakaachana naye. Wewe ndie ulichelewa kuisoma hiyo taarifa. Angalia tarehe iliyopostiwamkuu habari unaokota wapi?
Hahahaha nyie lipeni bhana 🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mnachelewa wakati pesa mnazo sio kweli sana nini lipeni mumtambulishe huyo caicedoKuna tatizo kubwa au ni tactical
Kambi ya Liverpool wanadai wameshafanya upelelezi kuwa tukilipa tutavunja FFP rules kitu ambayo sio kweli sana
Approcah ya akina Boehly ni kwenye payment structure yenye instllment nyingi ili kupunguza uwezekano wa kuvunja FFP rules na hii sio kwa Caisedo tu, hata kwa Enzo, Mudryk na wengine matajiri wa Chelsea walifanya hivyo nandio maana wana nguvu ya kuwanunua wachezaji wengi kwa msimu mmoja



Hahahahahah sijui wanasubiri nini kumchukua caicedo Hawa Jamaa 🤣🤣🤣🤣Ina maana Chelsea mpk muda huu bado hawajamchukua mchezaji wao?
wanakwama wapi?tuwasaidie?
Hahahahahah ndio najiuliza baada walipe wachukue mchezaji wao maana si wanapesaaa et🤣🤣🤣🤣Nyie kenge mbona hamtaki kulipa signing fee?![]()
Nyie ng'ombe embu lipeni bhana mumchukue caicedo bhana mbona kelele tu vitendo hatuoni![]()




Watu tangu Jana deal done ila kulipa hawataki wamebaki kelele tu wakati pesa wanayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona leo umeongea bila kutukana, wembe huo huo. kutofautiana kishabiki sio uaduiHahahaha nyie lipeni bhana 🤣🤣🤣🤣🤣 mbona mnachelewa wakati pesa mnazo sio kweli sana nini lipeni mumtambulishe huyo caicedo