Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ngome kuu ya Chelsea pale Katikati 2023/24
  1. Romeo Lavia 19 - 52m
  2. Moises Caicedo 21 -110m
  3. Enzo Fernandez 22 - 106m
Bado yupo
  1. Andrey Santos 19
  2. Carney Chukwuemeka 19
Na wote wameiva kuwa sehemu ya first team

Na hawa wachezaji hado wafike 30s tutakuwa tumewafaidi sana kwa miaka 10+ kama uongozi ukiwa stable

1691821268450.png
 


Ila mlituzodoa jana asubuhi hatari. Tuendelee kuburudika kupata updates Caicedo anaweza kuja Liverpool amini ivo
Demu akikukataa then akaja kukukubali baadar uje umepoteza mvuto pengine,, haina haja ya LFC kuendelea kuminyana kwenye hili dili
 
Kwa wale wanaotaka kupata taarifa za moto moto kwenye mtandao wa Twitter nawapa ushauri wa bure kama mimi nilivyofanya
  1. Kwanza ujue kimombo vizuri vinginevyo itakubidi kila hoja ukitaka kuchangia itakubidi utumie translator kuja kiswahili na baadaye translator kwenda kimombo
  2. Pili follow wale waandishi wote maarufu na ambao wana followers wengi kuanzia makumi elfu au kama unamjua mwandishi husika. mfano Fabrizio Romano, David O
  3. Uwe unashiriki kutoa hoja mbalimbali zikiwemo za kutokuwa bias na zile za kishabiki ili kupata attention ya wafuasi wengi
Mfano wa Journalist wa kuwafuata
  1. Fabrizio Romano (@FabrizioRomano) - mshabiki wa Watford
  2. David Ornstein, The Athletic - Mshabiki wa Arsenal
  3. Matt Law, Telegraph - Shabiki mkubwa wa Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom