Scared
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,887
- 17,614
Poa vipi mtambulisheni basi caicedo matajiriiiii mnakwama wapi kwani wakati huyo mchezaji ni wenu🤣🤣🤣🤣🤣
Poa vipi mtambulisheni basi caicedo matajiriiiii mnakwama wapi kwani wakati huyo mchezaji ni wenu🤣🤣🤣🤣🤣
Tuliaaa soooonnPoa vipi mtambulisheni basi caicedo matajiriiiii mnakwama wapi kwani wakati huyo mchezaji ni wenu![]()
Kama ni mfatiliaji mzuri wa Habari za Chelsea kwa Fab Wala haihitaji akili nyingi utajua Fab ni shabiki wa ChelseaKama zipi?
Kama ni Matt Law DT Basi imeisha hiyo
Mbona alisema zile bids za mwanzo bro?Kama ni mfatiliaji mzuri wa Habari za Chelsea kwa Fab Wala haihitaji akili nyingi utajua Fab ni shabiki wa Chelsea
Mfano hili la Caicedo unajua bid zilizokuwa zinakataliwa Fab alikuwa haripoti kabisa
Mnachukulia vitu too personal tatizoMbona alisema zile bids za mwanzo bro?
Sio shabiki wa Chelsea, anaonekana hivyo pale taarifa za Chelsea ndizo zinazotrendKama ni mfatiliaji mzuri wa Habari za Chelsea kwa Fab Wala haihitaji akili nyingi utajua Fab ni shabiki wa Chelsea
Mfano hili la Caicedo unajua bid zilizokuwa zinakataliwa Fab alikuwa haripoti kabisa
Poa vipi mtambulisheni basi caicedo matajiriiiii mnakwama wapi kwani wakati huyo mchezaji ka🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio tunajua haliwezi dondoshwaaa mtambulisheni basi mbona hamlipiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mashabiki wa Liver wamekuwa kama fisi anayemfuatilia binadamu akirusha mikono yake na kudhani yanaweza kudondoka ili ale
Dili la Caicedo halidondoshwi comrade
Tunajua mmebeba vipi mbona hamlipiiiiiiiiiiii matajiriiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapa kwa Caicedo tunambeba kwa nguvu hadi darajani afe mtu au apone tunabeba
Tuvunje sheria au tusivinje tunabeba
Kama unaumia sana sisi kumbeba Caicedo katafune pilipili mbuzi halafu ule na piriton ukalale hadi Kesho wakati tunamtambulisha Caicedo kwa mashabiki wetu Darajani
Umebaki tu wewe mbishi, kubali kwa afya yako comradePoa vipi mtambulisheni basi caicedo matajiriiiii mnakwama wapi kwani wakati huyo mchezaji ka🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio tunajua haliwezi dondoshwaaa mtambulisheni basi mbona hamlipiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani mbona tangu Jana mmeshawachukua wote watambulisheni Sasa kelele nyingiiiiiii hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Baada ya Mat Law kuandika kuwa Chelsea wako mbioniu kumsajili Caocedo kwa ada ya pauni mil 115 ambayo itakuwa ni rikodi nchini Uingereza sasa bahari imetulia, makelele yameisha hata wale wabishi wa kupindukia wametulia na wameshaanza kukubali. Wanaulizia kama Lavia bado anapatikana au wakatafute akina Kone na Kephram
View attachment 2715713
Ile bid ya 60 hakusema ,na hakuna mwandishi mwenye info za caicedo kwa ukaribu Kama Fabrizio, Ornstein ndio alikuja kufichua Chelsea wametuma ofa ya 60 ikawa rejected ,hata ofa zilizofatia alikuwa hasemi kuwa zimekuwa rejected,Mbona alisema zile bids za mwanzo bro?
Nimebisha wapi jamani mchezaji si anaitaka Chelsea huyo wenu mbona lipeni mumtambulishe mchukue uefa mbona kelele nyingiiiiiii wakati pesa mnayo matajiri munawazidi Hadi man city🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umebaki tu wewe mbishi, kubali kwa afya yako comrade
Mzee unatumia nguvu nyingi sanaaa tunajua tayari huyo ni wenu mtambulisheni Sasa matajiri mnawazidi Hadi man city pesa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tetesi: Deal Done
Huyu reporter mkubwa wa Liverpool amerusha kuwa tayari Chelsea wameafikiana na Brighton kuhsu usajili wa Caicedo kwa dau la Pauni mil 115
Caicedo atapewa mkataba wa miak 8 hadi 2031 na nyongeza ya mwaka hadi 2032
Time yake ya kule Ecuador ambayo ndio ilimshauri aisikilize na Chelsea baada ya Liver kuvamia inayoitwa Independiente del Valle itapewa pauni mil 23
View attachment 2715766
Tetesi: Deal Done
Huyu reporter mkubwa wa Liverpool amerusha kuwa tayari Chelsea wameafikiana na Brighton kuhsu usajili wa Caicedo kwa dau la Pauni mil 115
Caicedo atapewa mkataba wa miak 8 hadi 2031 na nyongeza ya mwaka hadi 2032
Time yake ya kule Ecuador ambayo ndio ilimshauri aisikilize na Chelsea baada ya Liver kuvamia inayoitwa Independiente del Valle itapewa pauni mil 23
View attachment 2715766