Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tubadilike tujifunze kwa Man city. Tunakuwa na pupa sana kwenye transfer windows na tunapanic mara nyingi kwenye mazingira kama haya ya Caisedo na matokeo yake huwa si mazuri. Angalia Lukaku, Morata, Kepa, Cucurella na list ni ndefu. Tutulie kama City alivyofanya tulivyomzid bidi kwa Chilwel na Cucurella au Arsenal alipomchukua Rice. Tutafute mchezaji mzuri. Lavia ni walewale tulionao hana jipya. Na bila namba sita mwenye profile kama Tchouameni hatutoboi
 
Liverpool wameshindwa kumnunua Lavia kwa mil 50 je wataweza kufikia hitaji la Brighton kwa Caicedo?

Kuna tetesi kuwa Brighton wanawatumia Liverpool kwa malengo mawili yenye kufaidisha pande mbili

Kwa Brighton Chelsea waongeze thamani ya bid lao

Kwa Liverpool ili Chelsea waachane na kumfukuzia Lavia waweke muda wao kubwa kwa dili la Caicedo
20230614_111437.jpg
 
Caicedo ni kambi popote Hana msimamo ,yule hata manjesta anaenda

Wachezaji wa hivi tamaa mbele

Thus why Arsenal tuliamua ku deal na wachezaji wenye Nia kweli

Caicedo hana msimamo
Wacha aende tu hiyo hela ni nyingi mno hata dili la Rice halikufika hivyo
 
Brighton walivyo na tamaa hadi documents zisainiwe ndipo tujue dili limeisha. Chelsea wakipanda dau kabla hawajasaini Brighton watageuka
Hili dili limeshaisha chelsea hawezi kupanda tena
 
Njia pekee ya kumsajil Caicedo ni kumatch bid ya Liverpool wakat huo huo tukiomba brighton wawe bado wajasign document.

Hii siku ya leo ndio ya muhim
Hii imeisha tayari tuangalie target nyingine hii vita ya usajiri sio nzuri mzee hiyo hela imevuka hata ile ya Rice kwenda Arsenal
 
Naona tunapaparika sana ila caicedo ni wakawaida tu Hana maajabu kivile na Hana quality hiyo inayozungumzwa sana.

Kuna vijana kibao WA quality yake na hata hawafiki bei hiyo.

Hata wanazi WA Mpira ulaya wapo sio bongo tu
 
Liverpool wameshindwa kumnunua Lavia kwa mil 50 je wataweza kufikia hitaji la Brighton kwa Caicedo?

Kuna tetesi kuwa Brighton wanawatumia Liverpool kwa malengo mawili yenye kufaidisha pande mbili

Kwa Brighton Chelsea waongeze thamani ya bid lao

Kwa Liverpool ili Chelsea waachane na kumfukuzia Lavia waweke muda wao kubwa kwa dili la Caicedo
Au siyo
 
Wacha aende tu hiyo hela ni nyingi mno hata dili la Rice halikufika hivyo
Tusijifiche kwenye hichi kichakaa, tumebugi pakubwa sana

Tumekosa wote
UGARTE
RICE
CAICEDO

Tunaanza ligi bila kuwa na no6

Caicedo alikuwa ni kante version 2.0 katika kiungo chetu

Tunaspend millions kwenye youngster ambao tunawatoa kwa mkopo huku tatizo la tim tunashindwa kulitatua
 
Chelsea wakituliza akili watapata mchezaji bora zaidi ya Caicedo
Better awe Andre Trindade or florentino luis, kwa sasa tunaanza fanya panic buy huku tumespend miez 3 kufanya negotiation wakat tangu mwanzo BHA walitaka 100M


Florentino luis, kufanya biashara na Rui costa sio rahis ni sawq na kufanya biashara na tony bloom wa brighton
 
Mi nilisema tangia mwanzo hili swala la caicedo tuachane nalo mapema , ule ulikuwa ni ujinga kuvutana muda wote huo
 
Bohely na watu wake wamefanya upuuzi ,unaendaje kumnunua Tyler Adams tena majeruhi ? ,Unashindwa kuongezea pesa ukalipa kwa sehemu yenye uhitaji zaidi
 
Caicedo anatakiwa na kila mtu pale Chelsea
Mashabiki waliokuwa wakimfuatilia kwa asilimia 90+% walikasirika sana kwa sababu dili la Chelsea lilikubaliwa kimsingi kabla ya mjinga fulani huko sijui Boehly alienda kupima maji kwa Lavia na yeye ndiye aliharibu kila kitu. Uzembe uliotokea ni mkubwa hata tukimpata Aurelien Tchouameni au Lavia hawezi kufikia ubora ambao Caicedo angeuleta kwenye timu. Mtindo wa kucheza wa Caicedo ni Kante akiwa na umri wa miaka 21, fikiria jinsi tulivyopoteza nafasi.
Hivi tunaweza kweli kuwashawishi Madrid watupe Tchouameni ? , Na sidhani kama wanaweza muachia chini ya euro 100 milioni
 
Njia pekee ya kumsajil Caicedo ni kumatch bid ya Liverpool wakat huo huo tukiomba brighton wawe bado wajasign document.

Hii siku ya leo ndio ya muhim
Hadi sasa sijasikia taarifa za kusaini documents, Brighton ni wapuuzi kabisa, tunaweza tukawalaumu Liverpool au Uongozi wa Chelsea lakini wapuuzi wamnaopenda kugombanisha timu hapa kwa tamaa zao ni Brighton. Bado labda wanasubiri dau la Chelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom