Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Umekuwa Mwehu weweHadi tunaenda mitamboni bado Moises Caicedo hajakubaliana personal terms na Liverpool kwa sababu mchezaji matakwa yake ni kuichezea Chelsea. Na Chelsea wameiambia kambi ya Caicedo wabaki London wanshughulikia usajili wake. Inaaminika Liverpool wameweka dau la kati ya pauni mil 110-115
Nasikia pia kuwa Maafisa wa Chelsea wamewakasirikia ile mbaya Liverpool
Chelsea wataweka kati ya pauni mil 120-130. Hii ngoma ndi sasa inanoga kweli kweli, wach sisi tuendelee kuwa washabiki afterall pesa sio za kwetu





















𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Moises Caicedo is having second thoughts about the move to Liverpool. The player and his representatives are still in London amid reports Chelsea are coming back in for him.