lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
BadoMuda huu Wana exchange documents kwa mujibu wa Fabrizio Romano
BadoMuda huu Wana exchange documents kwa mujibu wa Fabrizio Romano
Impact atakayoleta Caicedo Liverpool ndio utajuwa hiyo hela ndogo sanaWacha aende tu hiyo hela ni nyingi mno hata dili la Rice halikufika hivyo
Mkuu naona umekuja kuwakeraaaNow imagine having to watch Enzo - Chukwuemeka - Gallagher playing in the midfield of your club every weekend![]()
![]()
Tatizo sajili tulizofanya January zina tulimit kutumia tena pesa nyingi hili wengi mnasahau Enzo £100m na Mudryk £100m halafu tutoe tena kwa Caicedo ilikuwa ni ngumu ndomaana dili likawa linachelewa kufanyikaImpact atakayoleta Caicedo Liverpool ndio utajuwa hiyo hela ndogo sana
Matobo yetu tutaendlea klumiminiwa counter na kufungwa kijinga hata top 4 hatutaweza kufikia msimu ujao
Tunaweza kuburgain kwa kipa, wanamtaka Kepa kwa sababu kipa wao hatakuwepo kwa takriban nusu msimuHivi tunaweza kweli kuwashawishi Madrid watupe Tchouameni ? , Na sidhani kama wanaweza muachia chini ya euro 100 milioni
Issue ya Caisedo bado haijatamatishwa. Mpaka jana jioni Caisedo alikuwa London. Na leo asubuhi timu ya Caisedo imekuwa informed kwamba Chelsea is still working on the deal. Sijajua kama Klopp kashaongea na Caisedo maana hata kwenye press ya Klop sijui kama amezingumza kuhusu kuongea na Caisedo ili tujue kuwa amebadili msimamo anataka sasa kwenda Liverpool.Tusijifiche kwenye hichi kichakaa, tumebugi pakubwa sana
Tumekosa wote
UGARTE
RICE
CAICEDO
Tunaanza ligi bila kuwa na no6
Caicedo alikuwa ni kante version 2.0 katika kiungo chetu
Tunaspend millions kwenye youngster ambao tunawatoa kwa mkopo huku tatizo la tim tunashindwa kulitatua
Ni lazima tusajili midfield wawili ili Enzo acheze katika advanced roleBohely na watu wake wamefanya upuuzi ,unaendaje kumnunua Tyler Adams tena majeruhi ? ,Unashindwa kuongezea pesa ukalipa kwa sehemu yenye uhitaji zaidi
Bado Caicedo yupo London na mizigo yakeIssue ya Caisedo bado haijatamatishwa. Mpaka jana jioni Caisedo alikuwa London. Na leo asubuhi timu ya Caisedo imekuwa informed kwamba Chelsea is still working on the deal. Sijajua kama Klopp kashaongea na Caisedo maana hata kwenye press ya Klop sijui kama amezingumza kuhusu kuongea na Caisedo ili tujue kuwa amebadili msimamo anataka sasa kwenda Liverpool.
Kwa hiyo ndani ya masaa 24 tusubiri kuna jambo litatokea. Aidha mchezaji atakubali kujiunga Liverpool au Chelsea itapeleka bid mpya.
Adams n usajili mzuri tena kwa £20 ni kama aumjui Tyler ndo utasema ivo lakin ni moja kat ya addition nzur kabsa kwenye kikosi. nahis kama sjakosea dogo n mzuri kwenye ball recovery & ball winning kuliko caisedo na riceBohely na watu wake wamefanya upuuzi ,unaendaje kumnunua Tyler Adams tena majeruhi ? ,Unashindwa kuongezea pesa ukalipa kwa sehemu yenye uhitaji zaidi
Hapa hakuna ukweli wowote tumemwaga pesa nyingi kwa wachezaji ambao tumewapeleka kwa mkopo(quantity)then useme hatuwezi mwaga pesa kwa Caseido (quality) huu ni ujuha standard gauge. Ni kukosa priority ndio ujinga wa team boss miluziTatizo sajili tulizofanya January zina tulimit kutumia tena pesa nyingi hili wengi mnasahau Enzo £100m na Mudryk £100m halafu tutoe tena kwa Caicedo ilikuwa ni ngumu ndomaana dili likawa linachelewa kufanyika
We jamaa unaota ndoto amka mzee caicedo yupo on fire na swala la kumfunga Liverpool sahau mzee utachezea kichapo kibaya sana msimu huu hutoamini kiufupi imekula kwenu ynwaKitakachotufariji mashjabiki wa Chelsea ambao tulikuwa tukimfuatilia Caocedo ni kama mambo manne tu yatokee
- Kila tukikutana na Liverpool tuwabamize hata kama wana Caicedo tutajifariji kwa muda
- Caicedo aflop msimu mzima au kabisa tutabaki tunawacheka Liverpool hapo tutamsahau kabisa Caicedo
- Tumpate mchezaji kama Tchouameni and on fire.
- Tutumaini kwmaba akina Ugochukwu Santos formu zao zitapanda kwelikweli na waweza kuifanya kazi ambayo Caicedo angefanya kitu ambacho sidhani kabisa kama itatokea
Acha ujinga mzee deal tayari lishakamilia wewe unasema unasikia dogo anaenda kufanya vipimo ajiinge anfield wewe endelea kusikia hivyo hivyoNasikia Chelsea wanajaribu kumpiku Liverpool asubuhi hii kwa kule uingereza
Tusubiri hadi FabrizioRomano asema here we go
Mjomba hujitambui hivi ushindwe kumsajili miezi yote hiyo Leo ndio uweze Leo hahahah huyo yupo anfield mda huu🤣🤣🤣🤣🤣Chelsea wameamua kuongeza dau walilotoa Liverpool katika harakati za kushinda usajili wa Caicedo
Chelsea wameiambia kambi ya Caicedo wasitoke London kwa sababu bado wanashughulikia usajili wa Caicedo
It's obvious Chelsea have refused to walk away, and Caicedo still wants Chelsea over Liverpool. Interesting hours ahead. Let's see if Caicedo will do a Raphinha and if Chelsea will outbid Liverpool. For sure, if they do, Caicedo’s preference becomes vital.Acha ujinga mzee deal tayari lishakamilia wewe unasema unasikia dogo anaenda kufanya vipimo ajiinge anfield wewe endelea kusikia hivyo hivyo
It's obvious Chelsea have refused to walk away, and Caicedo still wants Chelsea over Liverpool. Interesting hours ahead. Let's see if Caicedo will do a Raphinha and if Chelsea will outbid Liverpool. For sure, if they do, Caicedo’s preference becomes vital.
Caicedo hadi sasa ameikataa Liverpool akiendelea hivyo hakuna cha dau kuwa kubwa kama ulifuatilia issue ya Raphinha na Barcelona na Chelsea




























