speech
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 506
- 1,325
Mwingine huyu hapa... Alinibishia kabsa... Akasema sijui mpira....We jamaa jicho la mpira ndio huna kabisa, hata nguvu ya kukuelimisha sina
Mwingine huyu hapa... Alinibishia kabsa... Akasema sijui mpira....We jamaa jicho la mpira ndio huna kabisa, hata nguvu ya kukuelimisha sina
Na huyu alinitukana kbsaaaa.. na kusema sijui mpira... Ila leo wao ndio wanaumbuka sasa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna akili, kenge wewe.
Na hii ndio post yangu niliweka kabla league haijaanza.... Nili oversee, nikaona mapungufu mengi ya cucu ... Na huwezi kumcompare na chillwell...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cucu hana uwezo wa kuchukua nafasi ya chilwell...chilwell anaweza kukaba na kupandisha timu.. kwa sasa chelsea inamtegemea sana james na chilwel kupandisha mashambulizi..
Cucu yeye uwezo wake ni kukaba tu.. lakin kupandisha mashambulizi sio mzuri
Wewe @bobbray ... Nishawai kukuwambiaga issue ya cucu... Ila ukanibishia... Ilikuwa mwaka janaNi lazima aseme hivyo kwenye press ili kumjenga kila mchezaji kujituma zaidi lakini Gallagher atauzwa ikija ofa sahihi £50m
Kweli tena huyo CUCU HAKUNA MTU PALEWewe @bobbray ... Nishawai kukuwambiaga issue ya cucu... Ila ukanibishia... Ilikuwa mwaka jana
Pochinene kwenye kujua uwezo wa mchezaji yupo vzrAfadhali Pochettino ametambua uwezo wa Ian Maatsen
Naona atamtumia kwenye nafasi za Mbele zaidi
Mchezaji kama Iana anauwezo wa Kuacheza winga wa kulia kushoto no. 10 center forward na fullback
Huyu nahisi hata kudaka anjua kuliko Kepa
.
Pochettino: “So far, Ian Maatsen is in my plan. I am so happy with him, can play in different positions”. #CFC“He is a clever player, I am so pleased with him so far”, said via
@scott_trotter
View attachment 2700251
Tupe mtazamo wako Chelsea ilikuaje na wachezaji gani waliperform na waliovurunda
Arsenal wanatushauriPochinene ana kitu hasa kuwaamini vijana na kuwatoa level moja kwenda nyingine
Akiongezewa new GK ,at least 2 Midfielders Basi atagombea top 4
But in term of Talent ID, ku progress young players ,tactics yupo vzr
Mpaka Sasa bila usajili bado mnakazi ku break top 4
Unatakiwa uelewe Mimi ni mchambuzi nguli na mshabiki ,Arsenal wanatushauri
Chelsea ina mapungufu kwenye kipa, tunahitaji central defender mmoja na kiungo mkabaji wa kati at least wawili ili tuwe kwenye ushindani.Unatakiwa uelewe Mimi ni mchambuzi nguli na mshabiki ,
Hapa nimesimama Kama mchambuzi
Tunaposema Chelsea bado dhaifu kupigania ubingwa even top 4 Kama Kuna maeneo haitaboresha tunakuwa tumefanya analysis yakutosha
Pochetinho pia kaongea ,Soma hapa[emoji107][emoji107][emoji107]
Pochettino says Chelsea still have a massive and unbalanced squad with tough decisions to come. He also went on a rant about players demanding to be starters rather than earning it
standard.co.uk/sport/football… #cfc
Sahihi kabisa hayo ni maeneo yasipoboreshwa yatawakost sanaChelsea ina mapungufu kwenye kipa, tunahitaji central defender mmoja na kiungo mkabaji wa kati at least wawili ili tuwe kwenye ushindani.
Nico ameendela kucheza vizuri mechi zake zote za Pre seasonTupe mtazamo wako Chelsea ilikuaje na wachezaji gani waliperform na waliovurunda
Asante mkuu kwa analysis yako James nae vipi alicheza vizuri?Nico ameendela kucheza vizuri mechi zake zote za Pre season
Yuko mobile sana na ana stamina kama Drogba na mjanja kama Etoo
Mwingine anayecheza vizuri mechi zote ni Ian Maatsen. Japokuwa yeye ni natural LB ila mechi zote kacheza kama winga wa kulia na kushoto
Mechi 3
Magoli 3
Assists 2
Mwingine anayecheza vizuri ni Casadei
Anafuata mabeki akina Bushiri na Malo Gusto hata Chalobah sikuona anafanya makosa
Chilwell jana alicheza vizuri
Wanaoendelea kucheza vibaya anaongoza ni Sterling, hakuna kitu pale. Anacheza kama academy wa miaka 15/16
Cucurela anajitahidi ila maamuzi yake ni maafa kwa Chelsea
Goli la kusawasihsa la New castle asingkurupuka akatulia akaenda sambaba na Almiron lile goli lisingeingia
Andrey santos kwa maoni yangu hachezi vizuri sana kama mwenzake Cesare Casadei. Huyu Casadei anajitoa sana, anapress ile mbaya. Kwa maoni yangu asiwekwe kwenye listi ya mkopo. Bora Andrey Santos ndiye apelekwe mkopo
Mudryk confidence inamrejea na ile namba imeshakuwa yake na Carney Chunkwuemeka anafaa sana backup ya no. 10 au CM ili confidence yake ikue, Anacheza vizuri kuliko al;ivyocheza kwenye ligi msimu uliopita. Pasi za haraka hara za one touch anaziweza sana kama mwenzake Angelo naye ni mmoja wa alds ambao naomba abaki
Bado mimi naona line up yetu bado ipo hivi
------------------- Jackson/Nkunku-----------------------
Mudryk/Sterling ---------------Kudus/Chunwuemeka------------Maatsen/Madueke
--------- Caisedo/Santos---------------------Enzo/Casadei ------------------
Chilwell/Hall----------Colwill/Badiashile -------Silva/Chalobah------James/Gusto
------------------------- Kepa/Slonina-----------------------------
Kocha kasema anataka kikosi cha wachezaji 21/22
- Mbadala wa Sterling akipatikana auzwe
- Broja mkopo au auzwe
- Cucu auzwe au abaki backup ya LB au CB
- Angelo ni mzuri sana ila umri wake utamzuia asicheze UK msimu huu, nashauri aende mkopo halafu mwakani akija apewe namba yake. Kwa uchezaji wake ni m,zuri kumzidi hata Maatsen na Madueke
- Bushiri naye abakizwe kama Chalobah atauzwa
- Wengine waliobaki wapelekwe mkopo wakajinoe huko
James anacheza vizuri ila Gusto anamzidi speed na James anamzidi Gusto uzoefu. Hiyo ndio tofauti yaoAsante mkuu kwa analysis yako James nae vipi alicheza vizuri?