juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Ft. Everton 0-1 Chelsea
Niliyoyaona
Chilwell bado sana itamchukua mda kurudi kwenye kiwango chake.
Kunahaja ya kumpa nafas Broja kama no 9, kai hawez tupa goal 10+
Sterling kuna kitu amekiongeza ni vile tu anakosa mtu mwingine kule mbele mwenye uwezo kama yeye.
Ps.
Baada ya miaka 5, hatimaye tumeshinda Goodison Park.
Mara ya mwisho kushinda ilikuwa wakat wa Conte, 2016/17 tulipochukua ubingwa
Niliyoyaona
Chilwell bado sana itamchukua mda kurudi kwenye kiwango chake.
Kunahaja ya kumpa nafas Broja kama no 9, kai hawez tupa goal 10+
Sterling kuna kitu amekiongeza ni vile tu anakosa mtu mwingine kule mbele mwenye uwezo kama yeye.
Ps.
Baada ya miaka 5, hatimaye tumeshinda Goodison Park.
Mara ya mwisho kushinda ilikuwa wakat wa Conte, 2016/17 tulipochukua ubingwa