Watoe tu hiyo 100 maana Brighton ni wagumu sana alafu muda unazidi kwenda bado tunaangaika na mchezaji mmoja kwanini wasimalizane nae kwanza kwa haraka ili tunasajili kwenye maeneo mengine
Watoe tu hiyo 100 maana Brighton ni wagumu sana alafu muda unazidi kwenda bado tunaangaika na mchezaji mmoja kwanini wasimalizane nae kwanza kwa haraka ili tunasajili kwenye maeneo mengine
Bora waachane naeWatoe tu hiyo 100 maana Brighton ni wagumu sana alafu muda unazidi kwenda bado tunaangaika na mchezaji mmoja kwanini wasimalizane nae kwanza kwa haraka ili tunasajili kwenye maeneo mengine
Ukiachana nae unamsajili nani? chelseafc ni wajinga wanajua kabisa team ina mapengo mengi ya kuziba baada ya kuuza wachezaji wengi nilitegemea watasajili mapema na ukumbuke kuwa soko ni la kiushindani na kuna muda mchache ligi ianze unategemea niniBora waachane nae
Shida sio Brighton tatizo kuu ni Chelsea wenyewe kudalay kufanya usajili tuna muda mchache sana ligi ianze wakati tuna magape mengi tuna shida ya kipa, central back kama ikitokea defender mmoja kaumia tutakuwa kwenye danger kubwa na tungeongeza striker mmoja na kiungo mshambuliaji mmoja cha ajabu team imestick kwenye huyo huyo Caicedo alafu hawamsajili bila kusajili maeneo mengine muhimu kwanza. Maana kwenye nafasi ya kiungo mkabaji tuliitaji at least wawili tungemsajili mmoja tungebaki nakiporo cha Caicedo pressure ingepungua Brighton wanajua kabisa hatuna option nyingine ndio maana wanafanya hiviBrighton ni wapuuz , tusinunue caicedo ,hawa ndio waliotuuzia lile takataka cucurella mil60 ,upuuz mtupu
Kwa hiyo dunia nzima kiungo ni caicedo peke yake. Chelsea waachane nao kuna wachezaji kibao wazur zaid ya huyo Caicedo. Mascout wa chelsea nao ni wavivu wa kutafuta ndio mana wanapigwa kila kukicha.Ukiachana nae unamsajili nani? chelseafc ni wajinga wanajua kabisa team ina mapengo mengi ya kuziba baada ya kuuza wachezaji wengi nilitegemea watasajili mapema na ukumbuke kuwa soko ni la kiushindani na kuna muda mchache ligi ianze unategemea nini
Wewe ujanielewa hizo team zilizosajii mapema kwani hazikufanya uchambuzi yakinifu? Unaweza ukacheewa na pia ukafanya panic buys ndio kitu nahofia kwa Chelsea kwa mapungufu tulinayo hatukutakiwa twende kwa speed ya konokono kama hiiHapana bodi wasikimbie waruwaru kusajili ili mradi mchezaji. Watulie wafanye uchambuzi yakinifu wasajili wachezaji watakuoendana na matakwa/mifumo ya kocha. Na sio lazima Caicedo
Sajili za waruwaru zimetuumiza sana huko nyuma.
Oyaaa wanang Chelsea inakuaje? Kikosi munakionaje? Tunaeza walamba vijambio maboya ote wa top six musimu ujao?
Ukiachana nae unamsajili nani? chelseafc ni wajinga wanajua kabisa team ina mapengo mengi ya kuziba baada ya kuuza wachezaji wengi nilitegemea watasajili mapema na ukumbuke kuwa soko ni la kiushindani na kuna muda mchache ligi ianze unategemea nini
Cuculela a.k.a kimwana manyweleHumu ndani nishawahi kusema kihusu cucurella toka kipind kile cha usajili.... Nilitukanwa sana nikaambiwa sijui mpira....
Nikasema cucurella hawezi muweka chillwell benchi... Ila nikaambia mimi sijui chchte kuhusu mpira
Caicedo ni type ya Kante kwa uchezaji wakeBora waachane nae
Unajua kwanini huyo mchezaji ndio main target ya Chelsea? Kuna factor nyingi kwanza ana experience ya ligi ya uingereza, pili umri wake ni mdogo atatufaa kwa muda mrefu, tatu hana record ya injuries, nne ana consistency performance nzuri amecheza misimu miwili kwa kiwango cha juu.Wachezaji wapo wengi tu kwenye hiyo nafasi tena zaidi yake, skauti ya Chelsea ni vilaza sana.
Ila wanacheza nafasi mbili tofautiChelsea imeacha kumfuatilia Rayan Chrki kwa sababu ya Attitude yake
Pochettino anasema hiyo attitude yake haifai kwa utamaduni anaotaka kuujenga pale dressing room
Kwa hiyo sasa tutang'ang'ana na Caicedo hadi kieleweke
Yes, Cherki yeye ni winga au no 10, hiyo nafasi hata hivyo haikuwa muhimu sanaIla wanacheza nafasi mbili tofauti
Hawa Brighton wachezaji wao wengi wanabebwa na mfumo wa timu ndomaana wanaonekana bora lakini kiuhalisia ni wachezaji wa kawaidaUnajua kwanini huyo mchezaji ndio main target ya Chelsea? Kuna factor nyingi kwanza ana experience ya ligi ya uingereza, pili umri wake ni mdogo atatufaa kwa muda mrefu, tatu hana record ya injuries, nne ana consistency performance nzuri amecheza misimu miwili kwa kiwango cha juu.
Cash Money Forever
Vipi kuhusu kundus?Yes, Cherki yeye ni winga au no 10, hiyo nafasi hata hivyo haikuwa muhimu sana
Kama Angelo akipata Permit ya Uk anaweza cheza na Noni
Idara za mbele tumekamilika
Bado tu Caicedo na Beki pamoja na Kipa
Hata asipopewa Permit Maatsen anatosha kushindania RW na Madueke
Uwezi ukawategemea casadei na Santos kwenye ligi yenye mechi 38? Unahitaji wachezaji wenye uzoefu wakati huo huo unawajenga hao vijana taratibuHawa Brighton wachezaji wao wengi wanabebwa na mfumo wa timu ndomaana wanaonekana bora lakini kiuhalisia ni wachezaji wa kawaida
Je sisi Chelsea tuna mfumo wa kufanya huyu Caicedo awe bora au ndo yaleyale ya Cucurela kutupa £60M na kuwapa Colwill alionekana bora kule Brighton
Tuna makinda wengi wazuri pale Chelsea shida ni mfumo na kutowapa nafasi ila hawa wakina Casadei na Santos wakienda kule Brighton itakuwa ni habari nyingine
Unasema huwezi kumtegemea Casadei na Santos je huyo Caicedo si Brighton wamempa nafasi mpaka sasa anaonekana boraUwezi ukawategemea casadei na Santos kwenye ligi yenye mechi 38? Unahitaji wachezaji wenye uzoefu wakati huo huo unawajenga hao vijana taratibu