Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

91e0fc13-4e75-4b4b-9990-e62d746c7d72.jpg

Huu usajili nauunga mkono asajiliwe haraka sana [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hawa waarabu wanatuharibia soka letu. Pesa za mafuta itauwa soka letu
Buy at €300m
Salary at €700m a year

1690194712098.png

 
Hawa waarabu wanatuharibia soka letu. Pesa za mafuta itauwa soka letu
Buy at €300m
Salary at €700m a year

View attachment 2697739
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pesa ya kumsajili Mbappe pamoja na huo mshahara wake wa mwaka mmoja inatosha kabisa kununua katimu kama kaArsenyo.
 
Mohamed Kudus to Chelsea
Nani anakataa
Makubaliano binafsi na Chelsea yameshakamilika leo bado tu na Ajax
Anauzwa Paundi Mil 40 tu
Ana miaka 22
View attachment 2697197
◉ Chelsea have submitted a £40m bid for Mohammed Kudus.
◉ Deal Depends on Ajax making a decision on whether it’s appropriate.
◉Personal terms agreed since Thursday on a 6 year deal.
◉Ajax Decision will be made soon.
 
By the way ukitoa back line wachezaji waliobakia karibia wote uwezo wa kukaba ni mdogo na huyo cherki ni luxurious player. Namuona Kudus anahitajika zaidi anaweza kuattack,kukaba na kushoot nje ya box. Wachezaji aina ya Caseido wanahitajika zaidi ya mmoja mechi ya Brighton ilionyesha hilo. Kwa timu inavyocheza namuona Manu Kone pia atatufaa sana kwa nafasi ya DM ni kama Camavinga style
 
By the way ukitoa back line wachezaji waliobakia karibia wote uwezo wa kukaba ni mdogo na huyo cherki ni luxurious player. Namuona Kudus anahitajika zaidi anaweza kuattack,kukaba na kushoot nje ya box. Wachezaji aina ya Caseido wanahitajika zaidi ya mmoja mechi ya Brighton ilionyesha hilo. Kwa timu inavyocheza namuona Manu Kone pia atatufaa sana kwa nafasi ya DM ni kama Camavinga style
Cherki na Olise
Cherki ni mzuri zaidi ya Olise hasa kwenye dribling na creativity kwenye final third. Cherki ana special tallent kama ya kina Zizou, Hazard, Ronaldinho na wengine. Akiendelea kucheza kwenye ligi kubwa na kujikusanyia uzoefu atakuja kuwa bonge la mchezaji

Olise yeye advantage yake tayari ana uzoefu na EPL. Ni mzuri kwenye free kicks na penalti na krosi. Pia anakaribia kuwa na talent kama za Cherki na umri wake bado mdogo, only 20

Kudus yeye uchezaji wake tofauti kabisa na haop wawili na anakaribiana na Essien kwa ukatili wakati anakabiliana na mpinzani wake. Wakati Essien alikuwa kiungo mkabaji, Kudus kwa upande mwingine ni mchezaji wa kiungo mshambuliaji ambaye anaweza kuwachachafya mabeki wa upinzani na kutengeneza nafasi kwa wengine kufunga. Hata yeye binafsi ni mfun gaji mzuri anayeweza kufunga katika presure kubwa, kwa mashuti ya karibu na mbali na ana miaka 22 tu. msimu uliopita alihusika kwenye magoli zaidi ya 25 kwenye mechi 42. Akija atatupa option kubwa sana ambayo timu kubwa kama Chelsea inatakiwa kuwa nayo

maajabu ya Cherki
 
Team ya usajili ya Chelsea kwa sasa wanatazama sana uwezo wa kiufundi wa mchezaji kabla ya kumsajili,ndiyo maana chalobah, Gallagher wamewekwa sokoni. Yes wametokea academy lakini technical ability zao zipo chini sana japo wanajituma na energy ipo ya kutosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom