Tofautisha malengo ya Chelsea na Brighton kwanza ndio utanielewa vizuriUnasema huwezi kumtegemea Casadei na Santos je huyo Caicedo si Brighton wamempa nafasi mpaka sasa anaonekana bora
Tofautisha malengo ya Chelsea na Brighton kwanza ndio utanielewa vizuriUnasema huwezi kumtegemea Casadei na Santos je huyo Caicedo si Brighton wamempa nafasi mpaka sasa anaonekana bora
Hizi sio tena zama za Roman Abramovich za kusajiri wachezaji wenye majina makubwa wenye miaka 28 na zaidiTofautisha malengo ya Chelsea na Brighton kwanza ndio utanielewa vizuri
Ngoja ni kuulize kwanini kai na Auba wameuzwa?Hizi sio tena zama za Roman Abramovich za kusajiri wachezaji wenye majina makubwa wenye miaka 28 na zaidi
Hawa ni wakina Todd Boehly wanaamini uwekezaji wa vijana wadogo ndomaana unaona wamesajiri vijana wengi sana
Kuhusu malengo ya Chelsea hapo ni mmliki na kocha ndo wanajua sisi mashabiki ndo tuna kiu ya mafanikio ya kuona timu inarudi kwenye ushindani ule wa zamani lakini si swala la mda mfupi hivyo
Alafu nasikia atapelekwa kwa mkopo kwa kweli hii team inaboa
Hatapelekwa, anawekwa kama alternative plan. Dili la Caicedo likishindikana anabaki, likiwezekana ndipo atapelekwa loanAlafu nasikia atapelekwa kwa mkopo kwa kweli hii team inaboa
Hapa kulikuwa na wachezaji watatu🤣🤣🤣🤣
Mkuu ni Kudu's
Caicedo ni type ya Kante kwa uchezaji wake
Kwenye soko sasa mchezaji kama huyo hayupo, tutajisumbua, tutajidanganya na kupoteza muda sana
- Anajua kufanya clean tackle hata kama ni za hatari
- Anajua kufanya ball recoveries ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya shambulio la haraka na kujenga mashambulizi ya kawaida
- Anajua kuusoma mchezo na kujua mashambulizi ya hatari yanajengwa kuelekea upande gani na kwa hiyo anakuwepo maeneo hayo kuzuia au kufanya clearance muhimu kabisa
- Pia anayo stamina na nguvu kama ya Kante ya kuwepo kila eneo la kati kumaliza kazi ya kukata umeme
Tukimpata Caicedo atawezesha timu kupata utulivu pale katikati ya uwanja na kuwawezesha mabeki kucheza kwa utulivu. Pia atawawezesha final third ya timu pinzani kuwa busy na hivyo kuwezesha washambuliaji kutupatia mabao na ushindi kirahisi
View attachment 2701800
Mbape, jau uyu mtoto, anataka kuwatia hasara na hakun kitu amefanya apo psgNahisi Kyilian Mbape ameihujumu PSG
Kunasadikika kuna makubaliano ya siri na Real Madrid kwamba Mbape atahamia Real Madrid bure msimu wa kiangazi wa 2024
Kwa hiyo kuna uwezekano Mbape akakaa benchi mwaka mzima pale PSG
Huu utakuwa uhuni wa karne haijawahi kutokea kwenye ulimwengu wa michezo
Hii ni baada ya Mbape kukataa dau la mwaka mmoja la Uarabuni kwa dili la Dola bilioni moja
Yaani uhamishoi wa dola mil 300 na mshahara wa mwaka mmoja wa dola millioni 700
View attachment 2702896
Kwani tuna midfielders waluxury pale Kati kiasi itufanye tutoe kwa mkopo for me hata kama tutampata Caicedo sioni sababu ya kumtoa kwa mkopo hii team itatuuaHatapelekwa, anawekwa kama alternative plan. Dili la Caicedo likishindikana anabaki, likiwezekana ndipo atapelekwa loan
Ili tufanikiwe tutahitaji muda mrefu kwa hawa madogo personally naona uongozi wa chelseafc hawajamtendea haki kabisa pochettino#Ugochukwu (19yo)
#Chunkwuemeka (19yo)
Both are 19yo
Both are midfielders
#Chelsea generational talents for the next decade+
Viva Chelsea
View attachment 2703110