lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,705
- 25,949
Najua na nimechukua kule SkySportsMkuu hawa wanacheza nafasi mbili tofauti kwanini uwalinganishe mmoja ni kiungo mshambuliaji na mwingine kiungo mkabaji kwanini isiwe Rice na Caicedo
Nilichovutiwa ni pale kwenye chances created tu
Ilitakiwa iwe vice versa
Mount 30
Caisedo 43