Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Official, confirmed. Chelsea have signed Jamaica international Dujuan ‘Whisper’ Richards. #CFC

Richards, born in 2005 will join Chelsea when he will turn 18 in November 2023 — the talented boy joins from Phoenix All Stars.

1687632739363.png
 
Chelsea mlengwa wao mkubwa kwenye nafasi ya ugolkipa ni Diogo Costa wa Porto ya Ureno. Inamfikiria kuwa yeye ndie kipa bora kuliko wote duniani kwa sasa. Ipo hata tayari kulipa Euro 75 millioni wanayotaka Porto na wako tayari kulipa kwa awamu tatu ili wasikiuke sheria za FFP.

Ni zoezi la Mendy kuhamia Al Hilal tu ndilo linalokwamisha.

Maoni yako ni ipi?

View attachment 2667680
Yupo vizuri kwenye footwork?
 
Nahisi Chelsea watamnasa caicedo..


Fabrizio transfer saga akiiweka kwenye pinned post huwa linakuaga suala la muda tu so naimani caicedo ataenda chelsea
Huyo anakuja chelsea man u wanatingisha kiberiti ili sisi tumwaachie haraka Mount
 
Caicedo kitambo tu destination yake Ni Arsenal au Chelsea , Arsenal tume focus na Rice , na tukajitoa kwa Caicedo, ambaye kashamalizana personal term na Chelsea


Sion akienda kuharibu career yake manjesta
😂😂😂 Hawezi kuja United ila tukiamua tunamchukua. Ashawahi kusema ndoto yake ni kucheza United.

Ukiachana na hayo £80m ni pesa nyingi sana, thamani yake halisi ni £50m max.

United hatuna uhitaji sana wa Caicedo na bei yake ndiyo inatuweka mbali kabisa na hilo dili.

Rice na Caicedo ni wachezaji wazuri ila bei zao na position wanazocheza hazipo realistic. Sisi tunawaangalia tu watu mtakavyopigwa.
 
Simu moja tu tunamchukua ila tushaona kuna upigaji unataka kufanyika hapa na msimu huu hatuongezi hela. Chelshit tumewaachia pesa mezani wanajikuta viburi wakati kumpata Caicedo mpaka wa-balance vitabu la sivyo FFP itafanya kazi yake.
Screenshot_20230625-085117_Chrome.jpg
 
Kwan kubalance ni lazima tumuuze Mount kwenu peke yake mkuu.😀😀😀
Sasa mtamuuza nani mwingine kwa dau kubwa? Na Mount akibaki akija Caicedo hatapata namba ya uhakika so anaweza agome kuongeza mkataba na ataondoka bure next season.

£50m + £5m ipo mezani ni nyie tu mtaamua.
 
Sasa mtamuuza nani mwingine kwa dau kubwa? Na Mount akibaki akija Caicedo hatapata namba ya uhakika so anaweza agome kuongeza mkataba na ataondoka bure next season.

£50m + £5m ipo mezani ni nyie tu mtaamua.
🚨 Bayern Munich are trying to hijack Mason Mount from Manchester United.

(Jacob Steinberg )

ℹ️@Chelsea_fc_worldwide
 
Sasa mtamuuza nani mwingine kwa dau kubwa? Na Mount akibaki akija Caicedo hatapata namba ya uhakika so anaweza agome kuongeza mkataba na ataondoka bure next season.

£50m + £5m ipo mezani ni nyie tu mtaamua.
Understand Man United have not left the negotiations for Mason Mount — as £55m bid is still valid on the table. But not accepting Chelsea’s £65m counter offer. 🚨🔴 #MUFC

Door remains open but Man Utd will not wait forever, believing £55m is fair bid.

[Fabrizio Romano]

ℹ️ @Chelsea_fc_worldwide
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hawezi kuja United ila tukiamua tunamchukua. Ashawahi kusema ndoto yake ni kucheza United.

Ukiachana na hayo £80m ni pesa nyingi sana, thamani yake halisi ni £50m max.

United hatuna uhitaji sana wa Caicedo na bei yake ndiyo inatuweka mbali kabisa na hilo dili.

Rice na Caicedo ni wachezaji wazuri ila bei zao na position wanazocheza hazipo realistic. Sisi tunawaangalia tu watu mtakavyopigwa.
Alisema kipindi hicho mnamtaka anauzwa £2m mkamkataa kumsajili

Caicedo in 2021: "My dream is to play for Manchester United"

Caicedo in January 2023: "I suffered a lot when my move to Arsenal did not materialize."

Caicedo in June 2023: Chelsea wants Caicedo and Caicedo wants Chelsea
 
Simu moja tu tunamchukua ila tushaona kuna upigaji unataka kufanyika hapa na msimu huu hatuongezi hela. Chelshit tumewaachia pesa mezani wanajikuta viburi wakati kumpata Caicedo mpaka wa-balance vitabu la sivyo FFP itafanya kazi yake.
View attachment 2667997
Haya maneno aliongea akiwa Ecudor na man u mlihusishwa nae sana akataman kuja EPL , baadae mkamuacha mkasajili kina Fred

Tena ilikuwa mtoe £2m tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hawezi kuja United ila tukiamua tunamchukua. Ashawahi kusema ndoto yake ni kucheza United.

Ukiachana na hayo £80m ni pesa nyingi sana, thamani yake halisi ni £50m max.

United hatuna uhitaji sana wa Caicedo na bei yake ndiyo inatuweka mbali kabisa na hilo dili.

Rice na Caicedo ni wachezaji wazuri ila bei zao na position wanazocheza hazipo realistic. Sisi tunawaangalia tu watu mtakavyopigwa.
Tuwe wakweli Caicedo kwasasa bila £80m+ humpati ,yupo vzr anacheza DM anacheza RB ya kuinvert kuwa Kiungo

Ni press resistant, ana vitu vingi anavyotakiwa kuwa navyo Kiungo

Umri wake miaka 21 uwekezaji wa miaka 10

Rice pia hivo hivo
 
Tuwe wakweli Caicedo kwasasa bila £80m+ humpati ,yupo vzr anacheza DM anacheza RB ya kuinvert kuwa Kiungo

Ni press resistant, ana vitu vingi anavyotakiwa kuwa navyo Kiungo

Umri wake miaka 21 uwekezaji wa miaka 10

Rice pia hivo hivo
Naona siku hizi unaongea vzri sjui umekuwa mkubwa au umeoa mkuuu maaana akili yako imekuwa kubwa sana kwenye mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom