hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,438
- 27,014
Mpira Ni fact na unaonekana ,Naona siku hizi unaongea vzri sjui umekuwa mkubwa au umeoa mkuuu maaana akili yako imekuwa kubwa sana kwenye mpira
Kuna muda tuseme uhalisia tu
Mpira Ni fact na unaonekana ,Naona siku hizi unaongea vzri sjui umekuwa mkubwa au umeoa mkuuu maaana akili yako imekuwa kubwa sana kwenye mpira
Matamshi mablimbali kuhusu Caisedo (haya matamshi inaweza kuwa ya kutunga au kutoka kwa Caisedo)Simu moja tu tunamchukua ila tushaona kuna upigaji unataka kufanyika hapa na msimu huu hatuongezi hela. Chelshit tumewaachia pesa mezani wanajikuta viburi wakati kumpata Caicedo mpaka wa-balance vitabu la sivyo FFP itafanya kazi yake.
View attachment 2667997
Chelkenge mnafurahishaga sana, sasahivi tutakuwa tuna screenshot comments zenu kwa kila mchezaji mpya. We timu gani kila mchezaji lazima aflop.Ushuzi tu, hamna kitu humu. Asepe tu
Sikatai Rice na Caicedo wote wana vipaji na uwezo mkubwa tu uwanjani lakini Caicedo £80m na Rice £100m upfront ni upigaji.Tuwe wakweli Caicedo kwasasa bila £80m+ humpati ,yupo vzr anacheza DM anacheza RB ya kuinvert kuwa Kiungo
Ni press resistant, ana vitu vingi anavyotakiwa kuwa navyo Kiungo
Umri wake miaka 21 uwekezaji wa miaka 10
Rice pia hivo hivo
Nguvu ya pesa hiyo. Transfer move yoyote kwa Caicedo ni nzuri kwa sasa maana atapata maslahi mazuri. Nazielewa sana kauli zake yeye popote kambi muhimu pesa.Matamshi mablimbali kuhusu Caisedo (haya matamshi inaweza kuwa ya kutunga au kutoka kwa Caisedo)
- 2021: "Ndoto yangu ni kuichezea Manchester United"
- Januari 2023: "Niliteseka sana wakati uhamisho wangu kwenda Arsenal haukutimia."
- Juni 2023: Chelsea inamtaka Caicedo na Caicedo anaitaka Chelsea
Kwasasa soko limefika hapo ,mchezaji akicheza vzr misimu miwili hasa hizi timu ndogo tegemea kuuziwa €100mSikatai Rice na Caicedo wote wana vipaji na uwezo mkubwa tu uwanjani lakini Caicedo £80m na Rice £100m upfront ni upigaji.
Pale Brighton hata Bissouma alisifiwa sana. Caicedo ingekuwa £50m + £10m add-ons na Rice £70m max.
Kwa Rice nitakubali price yake ikiwa kubwa kwasababu ni key player na captain wa West Ham ila thamani yake kiuhalisia haifiki £100m+
Transfer market sasa hivi ni kutumia tu akili, wachezaji wapo wengi wenye qualities zinazofanana na wapo wanaopatikana kwa bei nzuri.
Mfano, last season Ajax walitukazia kwa Timber tukaishia kumpata Martinez ambaye ni bora zaidi. Mimi naona £80m+ ni kwa wachezaji proven na top talents kama Mbappe, Kane n.k.
United tunaongoza kupigwa pesa kwa kuamini hawahawa vijana. Sancho, Antony, Maguire. Yote ni kwasababu wanawekewa bei bila ya kuwa na historia yoyote ya maana kwenye football.
Wachezaji wanaostahili kutolewa £100m ni kama Harry Kane siyo hawa wakina Caicedo na Rice ni upigaji tu unafanyika na nitafurahi sana United tukiwakwepa hawa wachezaji.
Sema Caicedo aisee anaangalia pesa tu ,ukisoma ule waraka wake alioandikaga January ,Huyu jamaa yeyote atakayefika ana mpunga mrefu anafataNguvu ya pesa hiyo. Transfer move yoyote kwa Caicedo ni nzuri kwa sasa maana atapata maslahi mazuri. Nazielewa sana kauli zake yeye popote kambi muhimu pesa.
Mount kuuzwa ni lazima, nasikia ni Chelsea ndio walikuwa wanaforce auzwe, Mount alitaka kubaki ChelseaKwan kubalance ni lazima tumuuze Mount kwenu peke yake mkuu.😀😀😀
Sema tu kuna wakati unakuwa shabiki (utakera wengine sana)Mpira Ni fact na unaonekana ,
Kuna muda tuseme uhalisia tu
Mkuu tushauza Mateo Kovacic pound 30M, kai 65, Hakim Ziyech 8M, koulibaly pamoja na Eduardo Mendy so hatuna wasiwasiSasa mtamuuza nani mwingine kwa dau kubwa? Na Mount akibaki akija Caicedo hatapata namba ya uhakika so anaweza agome kuongeza mkataba na ataondoka bure next season.
£50m + £5m ipo mezani ni nyie tu mtaamua.
Rice simkubali naona anakuzwa sanaTuwe wakweli Caicedo kwasasa bila £80m+ humpati ,yupo vzr anacheza DM anacheza RB ya kuinvert kuwa Kiungo
Ni press resistant, ana vitu vingi anavyotakiwa kuwa navyo Kiungo
Umri wake miaka 21 uwekezaji wa miaka 10
Rice pia hivo hivo
Man U wanamchukua, biashara ndio ziko hivyoSasa mtamuuza nani mwingine kwa dau kubwa? Na Mount akibaki akija Caicedo hatapata namba ya uhakika so anaweza agome kuongeza mkataba na ataondoka bure next season.
£50m + £5m ipo mezani ni nyie tu mtaamua.
Rice amekuwa hiyvo kwa muda mrefu, 100+ kwake ni halali kwa soko la sasaSikatai Rice na Caicedo wote wana vipaji na uwezo mkubwa tu uwanjani lakini Caicedo £80m na Rice £100m upfront ni upigaji.
Pale Brighton hata Bissouma alisifiwa sana. Caicedo ingekuwa £50m + £10m add-ons na Rice £70m max.
Kwa Rice nitakubali price yake ikiwa kubwa kwasababu ni key player na captain wa West Ham ila thamani yake kiuhalisia haifiki £100m+
Transfer market sasa hivi ni kutumia tu akili, wachezaji wapo wengi wenye qualities zinazofanana na wapo wanaopatikana kwa bei nzuri.
Mfano, last season Ajax walitukazia kwa Timber tukaishia kumpata Martinez ambaye ni bora zaidi. Mimi naona £80m+ ni kwa wachezaji proven na top talents kama Mbappe, Kane n.k.
United tunaongoza kupigwa pesa kwa kuamini hawahawa vijana. Sancho, Antony, Maguire. Yote ni kwasababu wanawekewa bei bila ya kuwa na historia yoyote ya maana kwenye football.
Wachezaji wanaostahili kutolewa £100m ni kama Harry Kane siyo hawa wakina Caicedo na Rice ni upigaji tu unafanyika na nitafurahi sana United tukiwakwepa hawa wachezaji.
Rice kwa EPL ni top CDM usikataeRice simkubali naona anakuzwa sana
Lete stats mimi nimecheki game nyingi iliwemo dhidi yetu huyo sio mchezaji mkabaji kivile yule wa fulham ni Bora kuliko rice na ndio maana england wakikutana na mataifa mengine mafundi kama crotia wanazidiwa Sana Kati huyo Rice haonekaniRice kwa EPL ni top CDM usikatae
Mkuu hawa wanacheza nafasi mbili tofauti kwanini uwalinganishe mmoja ni kiungo mshambuliaji na mwingine kiungo mkabaji kwanini isiwe Rice na Caicedo