Kwa hiyo unataka kusema Arse8 kapigwa wakati wao kule ni sherehe tupu kwa kumpa mr soft Kai na McheleMkuu hawa wanacheza nafasi mbili tofauti kwanini uwalinganishe mmoja ni kiungo mshambuliaji na mwingine kiungo mkabaji kwanini isiwe Rice na C
Hayo maneno yalikuwa hivi hivi kwa Delle Ali leo yuko wapi?
Usijali huyo atakuwa backupHapo kuna scout ipi imetumika? Huyo dogo kafufuka mwishoni tu mwaligi huko nyuma alikuwa kituko tu. Narudia tena huyo Jackson ni takataka tu hamna mchezaji mule, mimi nimekuwa wa kwanza kumkataa ata kabla hajavaa jezi yetu. Piga screen shot utunze hii comment yangu, ipo siku utakumbuka haya niliyo andika.
Sielewi Sterling anabaki kwa nni ?Mount kuuzwa ni lazima, nasikia ni Chelsea ndio walikuwa wanaforce auzwe, Mount alitaka kubaki Chelsea
Chelsea wanacholenga ni kuwa na kizazi cha wachezaji wachanga wanaoanza na bili ndogo ya mishahara
Nandio maana akiuzwa Mount watakuwa wamebaki hawa wenye mishahara mikubwa
- Rahim Sterling 325k/week
- Enzo Fernandez 315k/week
- Reece James 250k/week
- Ben Chilwell 200k/week
- Wesley Fofana 200k/week
- Kepa Arizabalaga 150k/week
- Marc Cucurella 175k/week
Yaaan kipa anauzwa pesa yote hyo du 75 hatari sanMan U wanamchukua, biashara ndio ziko hivyo
Uongozi mpya wanataka kumuuza, bid ya man u bado iko active na Man U hawataondoa bid yao hadi Chelsea waseme kabisa hawataki hiyo pesa. Mimi naona hata kabla ya mwezi huu kuisha Chelsea watapokea hiyo pesa haraka haraka ili dili la Caisedo liende haraka nalo. Kumbuka pia Chelsea wamedhamiria kumnunua kipa wa Porto Diogo Jota anauzwa ghali 75M so pesa za Mount ni muhimu sana
Hyu cucurelaa atoke tu hatufai maaana tumepigwa paleLine up ya mwakani kabla July haijaanza. Mabadiliko yanaweza kutokea kama Galagher, Cucurella wakiuzwa
View attachment 2668966
Tutasajili Kimasihara Na Hamtoamini Vyombo vitakavyoshushwa Kimya KimyaSajilinii nyieee kengeee
Sorry anaitwa Diogo Costa sio Jota ni kipa mzuri sana na ana miaka 23 tuYaaan kipa anauzwa pesa yote hyo du 75 hatari san
Mhenga, yaani unataka tubaki na makinda yoteSielewi Sterling anabaki kwa nni ?
Mkuuu umesahau ya kepa? It was 80 kma sikoseiSorry anaitwa Diogo Costa sio Jota ni kipa mzuri sana na ana miaka 23 tu
Tumjaribu kwa Poche, tumemwaga hela nyingi sanaHyu cucurelaa atoke tu hatufai maaana tumepigwa pale
Mhenga silva na akina Ben wanatoshaMhenga, yaani unataka tubaki na makinda yote
Sawa ila hapo mkuuu hakuna mchezaji huenda ni mchezaji wa timu ndogoTumjaribu kwa Poche, tumemwaga hela nyingi sana
Halafu wamelingana urefu, bora huyu angekuwa mrefuMkuuu umesahau ya kepa? It was 80 kma sikosei
Atatusaidia kupasha mabenchi jotoSawa ila hapo mkuuu hakuna mchezaji huenda ni mchezaji wa timu ndogo
Tusije tukawa na makipa wanaolingana uwezo yutajuata sanaHalafu wamelingana urefu, bora huyu angekuwa mrefu