Mbona umemuweka Thiago silva hapo?Kuna safisha nyumba inakuja wachezaji wazee, mizigo, injury prone na ambao hawana furaha wataondolewa kikosini:-
Mount
Sterling
Ziyech
Pulisic
Auba
Azip
Mount
Cheek
Cucurela
Silva
Mendy
Kovacic
Mbona umemuweka Thiago silva hapo?Kuna safisha nyumba inakuja wachezaji wazee, mizigo, injury prone na ambao hawana furaha wataondolewa kikosini:-
Mount
Sterling
Ziyech
Pulisic
Auba
Azip
Mount
Cheek
Cucurela
Silva
Mendy
Kovacic
Sijaona popote Silva anaaga, alikanusha hizo taarifa zilipoanza kusambaaSilva ameshaaga anaondoka kwenda kumalizia soka lake timu yake ya utotoni.
Humu hamna kocha humu. Ameikuta Bayern nafas y kwanza, naona alikua anapambana kuipeleka nafasi ya pili ikashindikana.
Hizo ni rumors tu hazijadhibitishwa kwanini unaaminiSilva ameshaaga anaondoka kwenda kumalizia soka lake timu yake ya utotoni.
Unashangaa akija Chelsea msimu mzima hafikishi goal 7Mungu asaidie asiflop kama Werner aisee. View attachment 2637128
Unakuta watu wanataka kabisa MO aludi Chelsea mimi nashindwa kuwaelewaHumu hamna kocha humu. Ameikuta Bayern nafas y kwanza, naona alikua anapambana kuipeleka nafasi ya pili ikashindikana.
Morinho na mpira wake mbovu alishafeli abaki zake tu roma huko. hivi kumbe kuna bado watu wanaupenda mpira wa morihno. Kha.
Nakubali MO kapitwa na makocha wengi wanaofundisha soka la kisasa ila bado anazo sifa makocha wengi hawanaUnakuta watu wanataka kabisa MO aludi Chelsea mimi nashindwa kuwaelewa
Yaani THE BLUES ya sasa akitua striker akafunga magoli mengi, dah atapendwa sana na mashabiki. Mashabiki watakuwa wanaenda nyumbani kwake kumsaidia kuchota maji, kufua nguo na kufagia uani.


daaaahhhWeka msimamo ndio utajua utofauti ulipo,kwa sasa hapo huwezi kujua maana ushachanganyikiwaMkuu kwani una utofauti gani na Chelsea?
Pamoja na kuongoza Ligi adi April 28 kwa points 8 mbele bado umetoka bila kikombe cha kahawa.





MchukueniDe Zerbi ni bonge la kocha![]()
Mikataba ile inawacha wachezaji wakate tamaa(kwa wanaokunja mshiko mdogo) au wajisahau (kwa wanaokunja mpunga mwingi)Kwa taarifa sahihi zinadai kuwa Lampard amejitahidi kufanyia mazoezi maeneo yote yenye udhaifu kwenye timu na zaidi ya yote alialika mchezaji mmoja mmoja ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo huru ya kibinafsi na yote haikuzaa matunda
Kila wiki wachezaji wanacheza fyongo na timu inafungwa tu kizembe
Mimi naamini tatizo sio kocha, hata akija Pochettino tatizo la msingi linalowafanya wachezaji wagome kucheza vizuri lisipofanyiwa kazi, msimu ujao tutaendlea kucheza fyongo tena zaidi ya msimu huu na tutashuka daraja hakika
Kwa maoni yangu tatizo la msingi liko kwenye mwelekeo mpya wa timu kwenye kuwapa motisha wachezaji hauka kwa faida ya wachezaji
Boehly approach yake ni kuwa na timu yenye mishahara midogo. Mfano kwa sasa average wage ya mchezaji Chelsea iko chini ya mil 100. Nadhani iko kwenye 80m au 90m.
Wachezaji wamekata tamaa hata wakicheza vizurei hakuna atakayewaona
Mchezaji kwenye timu ndogo anacheza vizuri akitumaini ataonekana kwenye timu kubwa ili apate fursa ya kushinda makombe na kuboreshewa mapato yake
Kwenye timu kubwa mchezaji anacheza vizuri ili aongezewa mshahara na mapato mengine na pia kujenga legancy
Sasa hiyo kwa Chelsea imefifia na wachezaji wengi wamesaini mikataba ya muda mrefu wanaona kama wameingizwa kingi
Cha kufanya
Ni vyema uongozi ukaja na sera nzuri yenye faida kwa wachezaji na waambiwe hata kama sera ni kuwa na averag wage bill lakini mchezaji anayecheza vizuri mkataba wake utaboreshwa muda wowote bila kujali ana mkataba wa muda mrefu
Akina Boehly wakifanya hivyo obviously morale ya wachezaji itarudi
View attachment 2638046



huyu anafikiri mpaka ufikie mwaka wa kuextend deal sio leo so anaharibika kisaikolojia, and viceversa ........











Mauricio Pochettino has finally signed the contract as new Chelsea head coach after verbal agreement reached 2 weeks ago.