sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hamna kitu pale Kaka.Huwa navuta picha Kai angecheza na Hazard, Willan, Fabrigas angekuwa mchezaji wa namna gani
Huwa namuona Kai kama ana kitu special hivi katika uchezaji wake lakini kama anashindwa hivi kukitoa.
Embu tupate kocha mpya msimu ujao tumuangalie tena Kai.
Just overhyped


