juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Huyu hawez fanya kazi na kina Boehly, niwale makocha tunaowahitaj ambao hawataki kuiingiliwa wako na misimamoMchukueni
Huyu hawez fanya kazi na kina Boehly, niwale makocha tunaowahitaj ambao hawataki kuiingiliwa wako na misimamoMchukueni
Mbuzi wewe taja unatoka zizi ganiPochetinoHafiki December 2023 Mtamkataa Ng'ombe Nyie
Ngano na magugu zimechanganyika humo humoWana sura nzuri
Wana majina makub wa
Wamenunuliwa kwa bei ghali
-lakini wametufikisha nafasi ya 12 kwenye ligi na leo hopefully watatupandisha nafasi ya 13
View attachment 2638272
Sio lazima ziishie wavuni, kwa uchezaji wake anakwenda deep kama alivyokuwa Willian. Kinachotakiwa pale wawepo washambuliaji sharp kuweza kutap krosi zake nzuri. Kuna matumaini makubwa kwa Madueke kuweza kutengeneza chances nyingi. Changamoto ni strikwer wa kuweza kutap hizo krosesSterling hafai kuvaa jezi ya chelsea
Nashangaa kwann lampard alikuwa akimuacha nje joao felix wakati hakuna quality player pale mbele kumzidi yeye.
Madueke ni mchezaji mzuri ila anatakiwa aache utoto, acheze kama mwanaume na ajue kuwa dribbling zake zinapaswa ziishie nyavuni, pia shooting drills zinatakikana sana, wachezaji wetu hawajui kipiga mashuti yanayolenga lango la timu pinzani
Sio kweli nafikiri huifahamu hii kanuni ya UEFA. Timu 5 kutoka ligi moja zinaruhusiwa endapo bingwa wa champions league au Europa hakufanikiwa kufuzu kupitia kumaliza nafasi 4 za juu ktk ligi zenye ranking coefficient kubwa yaani EPL, La Liga, Bundesliga na Serie A.Man city akishinda UEFA, Liverpool anacheza UEFA mwakani
Na kwa hiyo Aston Villa naye atacheza Europa wakati huo Spurs anaweza cheza UEFA Conference
Kwa hiyo hizi timu zinamuombea City ashinde UEFA kwa mara ya kwanza
View attachment 2638708
- Liverpool
- Aston Villa na
- Tottenham Hotspurs
OK nilichemka, huko nyuma nilifahamu hivyo kuwa nafasi ya tano anaenda UEFA kama bingwa wa UEFA au Europa ni nje ya top fourSio kweli nafikiri huifahamu hii kanuni ya UEFA. Timu 5 kutoka ligi moja zinaruhusiwa endapo bingwa wa champions league au Europa hakufanikiwa kufuzu kupitia kumaliza nafasi 4 za juu ktk ligi zenye ranking coefficient kubwa yaani EPL, La Liga, Bundesliga na Serie A.
Shakhtar Donetsk tayari amechukua nafasi ya City au Inter maana wote wamefuzu ktk ligi zao kwa njia ya kawaida. Kanuni ya UEFA inasema endapo bingwa wa UEFA amefuzu kawaida ktk ligi yake timu inayotoka ktk ligi ambayo ina coefficient rank ya juu ila timu zao zinaingia kwa mfumo wa playoffs zitapata nafasi moja kwa moja ktk group stage. Ndio maana Shakhtar jana baada ya Inter kumfunga Atlanta akaingizwa moja kwa moja ktk group stage na UEFA.
NB: Ukraine ni ligi ya 12 kwa vigezo vya UEFA (Coeff. 31)
Yes. UEFA ile nafasi ya mlango wa nyuma ni ya bingwa wa champions league au Europa na si vinginevyo endapo hakufuzu kwa njia ya top 4.OK nilichemka, huko nyuma nilifahamu hivyo kuwa nafasi ya tano anaenda UEFA kama bingwa wa UEFA au Europa ni nje ya top four