Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wana Chelsea wenzangu hivi Ni striker gani tukimsajili anaeza tufaa pale kwa msimu ujao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Kwasasa Chelsea haitaji striker bali tunataka kwanza sprit ya timu kushinda game.

Kwasasa hata ulete striker anaefunga magoli ataonekana kiraza tu. Wachezaji wajengwe kisaikolojia kwanza wawe na momentum ya kushinda then ulete striker
 
Kwasasa Chelsea haitaji striker bali tunataka kwanza sprit ya timu kushinda game.

Kwasasa hata ulete striker anaefunga magoli ataonekana kiraza tu. Wachezaji wajengwe kisaikolojia kwanza wawe na momentum ya kushinda then ulete striker
Upo serious mkuu kweli hatuhitaji striker?? yaani tuendelee kuwategemea akina harvetz me naona pamoja na yote uliyoyataja lakini striker anahitajika sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Upo serious mkuu kweli hatuhitaji striker?? yaani tuendelee kuwategemea akina harvetz me naona pamoja na yote uliyoyataja lakini striker anahitajika sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Mkuu tuna mastriker wengi mno wakijengewa uwezo na timu ikiwa na sprit ya kushinda mbona watafanya vizuri tu.

Kwasasa timu bado haijakaa sawa kiuchezaji.
 
Mkuu tuna mastriker wengi mno wakijengewa uwezo na timu ikiwa na sprit ya kushinda mbona watafanya vizuri tu.

Kwasasa timu bado haijakaa sawa kiuchezaji.
Ni kweli ma striker tunao lakini hawana ubora huo wa kutegemewa anahitajika striker ambaye atatupa goli 20+ kwa msimu hawa tulionao wa kawaida sana sio level ya timu kubwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tuna mastriker wengi mno wakijengewa uwezo na timu ikiwa na sprit ya kushinda mbona watafanya vizuri tu.

Kwasasa timu bado haijakaa sawa kiuchezaji.
Hata Lukaku hakushindwa kufunga, spirit ya timu iko low kuliko hata wale wachezaji wa League one
Tutaendelea na makosa yale yale ya kudhani tukiwasajili wachezaji kama Haaland tutafunga mabao wakatu sio kweli
City hata kabla ya haaland kwenda pale wao walikuwa na spirit ya kushinda mechi yeyote mbele yao
Haaland kaja akaingia tu kwenye timu yenye high spirit

Hata aje striker mzuri kuliko wote mbinguni na duniani, kama spirit ya timu itaendela kuwa hii na viongozi wanaoongoza timu wasigundue makosa, Chelsea itaendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu
 
Hata Lukaku hakushindwa kufunga, spirit ya timu iko low kuliko hata wale wachezaji wa League one
Tutaendelea na makosa yale yale ya kudhani tukiwasajili wachezaji kama Haaland tutafunga mabao wakatu sio kweli
City hata kabla ya haaland kwenda pale wao walikuwa na spirit ya kushinda mechi yeyote mbele yao
Haaland kaja akaingia tu kwenye timu yenye high spirit

Hata aje striker mzuri kuliko wote mbinguni na duniani, kama spirit ya timu itaendela kuwa hii na viongozi wanaoongoza timu wasigundue makosa, Chelsea itaendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu

Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.

Kwanza timu ijijenge kisaikolojia ili iweze kuwa high Spirit ya kuwin mchezo. Bila bado tutaendelea kuwatukana wachezaji tu

Naipenda Chelsea yangu ingawa ndiyo ivo
 
Dah....eti hii nayo ni timu ya soka!!!!vituko haviishi
Madela yenu ya ubingwa haya hapa sijui mtamuuzia nani ???
20230517_094047.jpg
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.

Kwanza timu ijijenge kisaikolojia ili iweze kuwa high Spirit ya kuwin mchezo. Bila bado tutaendelea kuwatukana wachezaji tu

Naipenda Chelsea yangu ingawa ndiyo ivo
Hii timu inahitaji kocha mzur tu basiii.
 
João Félix confirms he wants to stay at Chelsea: “I don’t know yet on my future, but I loved these months. I would really like to be here”. #CFC“It’s a top club, everyone here has been really good to me”, João Félix added via
@TheSecretScout_
-Fabrizio Romano
 
Our Story: Bayern are interested in Adrien Rabiot (28)
@PSG_inside
. other candidates for the midfield: Mateo Kovacic (29/Chelsea) and Declan Rice (24/West Ham)
@SPORTBILD
-Christian Falk
 
Talks continue behind the scenes for Ruben Loftus-Cheek to AC Milan. He’s top target for Milan, as revealed last week. #ACMilan #CFCChelsea and Milan are discussing about the fee for permanent deal, no way for loan. RLC, keen on Serie A move.
_Fabrizio
Aende na afie huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom