mudryk
Senior Member
- Jan 21, 2023
- 174
- 224
Wana Chelsea wenzangu hivi Ni striker gani tukimsajili anaeza tufaa pale kwa msimu ujao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wana Chelsea wenzangu hivi Ni striker gani tukimsajili anaeza tufaa pale kwa msimu ujao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upo serious mkuu kweli hatuhitaji striker?? yaani tuendelee kuwategemea akina harvetz me naona pamoja na yote uliyoyataja lakini striker anahitajika sanaKwasasa Chelsea haitaji striker bali tunataka kwanza sprit ya timu kushinda game.
Kwasasa hata ulete striker anaefunga magoli ataonekana kiraza tu. Wachezaji wajengwe kisaikolojia kwanza wawe na momentum ya kushinda then ulete striker
Upo serious mkuu kweli hatuhitaji striker?? yaani tuendelee kuwategemea akina harvetz me naona pamoja na yote uliyoyataja lakini striker anahitajika sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ma striker tunao lakini hawana ubora huo wa kutegemewa anahitajika striker ambaye atatupa goli 20+ kwa msimu hawa tulionao wa kawaida sana sio level ya timu kubwaMkuu tuna mastriker wengi mno wakijengewa uwezo na timu ikiwa na sprit ya kushinda mbona watafanya vizuri tu.
Kwasasa timu bado haijakaa sawa kiuchezaji.
Hata Lukaku hakushindwa kufunga, spirit ya timu iko low kuliko hata wale wachezaji wa League oneMkuu tuna mastriker wengi mno wakijengewa uwezo na timu ikiwa na sprit ya kushinda mbona watafanya vizuri tu.
Kwasasa timu bado haijakaa sawa kiuchezaji.
Lukaku si bado ni mchezaji wenuUpo serious mkuu kweli hatuhitaji striker?? yaani tuendelee kuwategemea akina harvetz me naona pamoja na yote uliyoyataja lakini striker anahitajika sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa lukaku Ni wakutegemewa??Lukaku si bado ni mchezaji wenu
Hata Lukaku hakushindwa kufunga, spirit ya timu iko low kuliko hata wale wachezaji wa League one
Tutaendelea na makosa yale yale ya kudhani tukiwasajili wachezaji kama Haaland tutafunga mabao wakatu sio kweli
City hata kabla ya haaland kwenda pale wao walikuwa na spirit ya kushinda mechi yeyote mbele yao
Haaland kaja akaingia tu kwenye timu yenye high spirit
Hata aje striker mzuri kuliko wote mbinguni na duniani, kama spirit ya timu itaendela kuwa hii na viongozi wanaoongoza timu wasigundue makosa, Chelsea itaendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu
Madela yenu ya ubingwa haya hapa sijui mtamuuzia nani ???Dah....eti hii nayo ni timu ya soka!!!!vituko haviishi
Sasa arsenal ndio timu au kituko cha karneDah....eti hii nayo ni timu ya soka!!!!vituko haviishi
Wewe nawe ni shabiki kweli?Dah....eti hii nayo ni timu ya soka!!!!vituko haviishi
Hii timu inahitaji kocha mzur tu basiii.Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.
Kwanza timu ijijenge kisaikolojia ili iweze kuwa high Spirit ya kuwin mchezo. Bila bado tutaendelea kuwatukana wachezaji tu
Naipenda Chelsea yangu ingawa ndiyo ivo
Dah....eti hii nayo ni timu ya soka!!!!vituko haviishi

