Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sheria ingeruhusu huyu achezee ile nafasi ya Auba au Havertz angetuondolea aibu ya kufunga
1685098317321.png
 
Ch
Nafasi ya striker THE BLUES hata waletwe Kane na Haaland wataflop.

Hawa wachezaji walicheza chini ya makocha bora duniani na bado wakaflop

1. Torres
2. Pato
3. Higuan
4. Chevchenko
5. Auba
6. Morata
7. Lukaku

Hii nafasi tuachane nayo kuisajili, tuendelee kucheza na False 9.

Kai
Nkunku
Jao Felix
Chelsea hiyo nafasi ilikuwa na wachezaji wazuri sana hapo zamani...kina Mark hughes, George weah, Jimmy floyd, Hasselbaink, Eidur Gudjohnsen,Tore andre Flo,hernan crespo,Anelka, Drogba...ila sasa hivi ni vichekesho tu ninavyoviona..katika miaka 25 ya kuishabikia Chelsea....sijaona kocha mbovu kama Lampard..yaani hata yuke AVB alikuwa na afadhali kuliko huyu Legend ambaye utafikiri hakucheza chini ya Mourinho
 
Reece James sio mchezaji wa kumjitegemea tena acheze mechi 10 mfulilizo bila majeruhi, bora tumemsajili mapema yule Gusto Malo atatusaidia.
Azpilicueta katika miaka 11 ya kuichezea Chelsea kamiss mechi 12 tu kwa ajili ya majeruhi
Reece James msimu huu pekee kakosa mechi 25 kwa ajili ya majeruhi
 
Sijui Kai kwa nini sisikii taariza za yeye kufungashiwa virago?, ana miaka zaidi ya mitatu pale Epl lakini bado anacheza kilegevu utadhani hajala siku 3.

Bora arudi Lukaku au nafasi ile apewe Nkunku msimu ujao kuliko kutegemea wachezaji aina ya Kai ambao wamegoma kubadilika kiuchezaji😭😭
 
Hivi Nkunku, Kai, Felix watachezaje kwa pamoja naona kama Felix atarudi Athletico Madrid.

-------------- Nkunku ------------

Mudyk --- Kai -- Madueke

----------DM --- Enzo ---------

Au tutasajili Striker

-------------- Striker ------------

Mudyk --- Nkunku -- Madueke

----------DM --- Enzo ---------
Nkunku ni kiungo sidhani kama atachezeshwa false no. 9
Chelsea lazima isajili striker, kiungo mkabaji na kipa
Sterling bado ataplay a big role kushoto au kulia hadi mudryk na madueke wakomae
Nkunku atacheza kama no. 10
Naamini kocha ajaye atakuwa serious kuwatransform hao akina Havertz ili awe mkatili
Kuna uwezekano Ziyech akabaki
 
Chelsea wametoa ofa ya mkataba mzuri kwa Colwill lakini ipo chini ya matarajio ya Colwill. Chelsea sasa wanajiandaa kumpa mkataba mwingine ulioboreshwa. Matarajio ya Colwill ni kubakia darajani. Anapata amani akiwa darajani
View attachment 2635321
Kwa interview aliyofanya jana na The Athletic, Colwill hatunaye tena
Chelsea imuuze mara moja na kumleta mbada;a wake
Kasema
"Brighton wameniamini sana wakati wengine hawakuniamini, na mimi ni mtu wa kulipa fadhila"
 
Kante pia nasikia anainyemelea ile nafasi ya Alba Barcelona
Mount huyo kaaga
lazima Chelsea wasajili viungo wawili
 
Kendry Paéz now becomes the youngest player ever to score in a U-20 World Cup after tonight’s game. He’s still 16. #CFCChelsea, excited with their future signing as deal has been sealed for €20m total package, main part in add ons. Kendry will join Chelsea in 2025.
-Fabrizio

1685142018628.png
 
Kuna safisha nyumba inakuja wachezaji wazee, mizigo, injury prone na ambao hawana furaha wataondolewa kikosini:-

Mount
Sterling
Ziyech
Pulisic
Auba
Azip
Mount
Cheek
Cucurela
Silva
Mendy
Kovacic
Mountx2
Changamoto ni kufikia bei na uwezo wa kulipa mishahara mikubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom