Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yes. UEFA ile nafasi ya mlango wa nyuma ni ya bingwa wa champions league au Europa na si vinginevyo endapo hakufuzu kwa njia ya top 4.

Tena huwa inaenda mbali zaidi ikiwa bingwa CL na Europa wote hawajafuzu kwa njia ya top 4 na wapo ktk ligi moja basi yule aliyemaliza nafasi ya 4 anaondolewa ili zibaki timu 5 tu ndani ya ligi moja.
Kama Inter akiwa bingwa wa UCL na hapo hapo AS Roma akawa bingwa wa Europa
 
Benoit Badiashile Mukinayi Baya majeruhi hadi mwezi wa tisa msimu ujao
Kama Colwill haitaki Chelsea ni vyema tuingie sokoni kumnunua CB wa kushoto au tumtegemee Cucurela asaidiane na Koulibaly
 
Pochetino anapenda mpira wa pressing

Mchezaji mmojawapo atakayeendana na mfumo wake na atapata nafasi sana kwa Pochetino ni Conor Garagher
Poche ameshaidhinisha wazi anataka Galagher abaki japo Boehly ameshamuweka Conor Galagher kwenye orodha ya wachezaji watakaouzwa na wamemdaminisha katika paundi mil 44

Mchezaji ambaye anaweza asifae kabisa kwenye mfumo wa Pochetino ni hawa hapa
  1. Mendy
  2. Havertz
  3. Cheek
  4. Ziyech
Mimi nawaona hawa kama ni wazito kwenye kupress
 
Kama Inter akiwa bingwa wa UCL na hapo hapo AS Roma akawa bingwa wa Europa
Inter ame-qualify kwa njia ya top 4 Serie A ndio maana Shakhtar Donetsk amewekwa group stage moja kwa moja juzi ktk pot 3 na UEFA.
 
Pochetino anapenda mpira wa pressing

Mchezaji mmojawapo atakayeendana na mfumo wake na atapata nafasi sana kwa Pochetino ni Conor Garagher
Poche ameshaidhinisha wazi anataka Galagher abaki japo Boehly ameshamuweka Conor Galagher kwenye orodha ya wachezaji watakaouzwa na wamemdaminisha katika paundi mil 44

Mchezaji ambaye anaweza asifae kabisa kwenye mfumo wa Pochetino ni hawa hapa
  1. Mendy
  2. Havertz
  3. Cheek
  4. Ziyech
Mimi nawaona hawa kama ni wazito kwenye kupress

Hakuna kocha hapo tunarudia kufanya makosa Yale Yale ya Porter.

Mtajwa siyo serial winner zaidi ya kelele za media tu.

Tumrudishe Conte au Jose
 
Keshapost
Screenshot_20230529-085528_Twitter.jpg
 
Conor gallagher ana ball control mbovu sana..sio creative player kabisa haisaidii timu ktk kushambulia
Akiwa Palace hakuwa hivi, kazi kubwa ya Pochetinno ni kumuwezesha awe na ball control na kuwa creative na ukichanganya na uwezo wake wa kupress atakuwa mchezaji mzuri sana. Hiyo ndio kazi ya kocha
Pochetinno ameona hiyo advantange aliyonayo Galagher na huu udhaifu anajua atafanya nini juu yake
 
Chelsea wakati wanamuuza Tammy Abraham walidhani atakuja kuwa bonge la striker na ndio maana wakakubali kuweka buyback clause ya euro 80m
Huyo hata kwa mil 30 hafai, sio modern aggressive striker
Kwenyue ligi legelege kama ya serie A anashindwa kufunga hata 10+ goals, angekuwa Chelsea angeishia kwenye magoli matatu tena ya kubahatisha
 
Understand Manuel Ugarte has been approved as target also by Chelsea coach Mauricio Pochettino #CFCChelsea are pushing in talks with club and player side, Jorge Mendes’ on it. PSG proposal, still valid on the table.No decision yet, but Chelsea will keep insisting.

-Fabrizio Romano

I understand Chelsea has reached an agreement with Manuel Ugarte and his agent over personal terms.Chelsea would like to pay the release clause over installments rather than one payment; this is a remaining point.

- Chelsea Dodgers

1685349776963.png
 
Kama tukimpata Caicedo au Lavia na Ugarte mpka hapo tutakuwa vizuri. Tunawahitaj wawili kati ya hao.

Tumalize na usajili wa kipa na striker.

Naona summer tukisajil wachezaj wasiozidi wanne

Pochetino asuke tu mbinu zake vizuri
 
Maneno ya Silva baada ya kupewa nishani ya mchezaji bora wa msimu

I thank the team, the staff and the fans for all the work this season. It wasn't the result we wanted! Thanks for your unconditional support and love see you next season

1685381339533.png
 
Timu nzima imecheza hovyo msimu huu lakini napenda kuwatetea hawa wachezaji wasihusishwe na ubovu wa timu
  1. Enzo - amekuwa mzalendo wa kweli, kacheza vizuri sana pamoja na kuja kwenye ligi ngumu na ngeni, saa nyingine ameonekana akiwasukuma na kugombana na wachezaji wenzake na opponents kwa sababu tu ya kuitakia Chelsea matokeo mazuri. Hope next season baada ya fagia fagia ataiongoza Chelsea kwenye mji wa ahadi
  2. Kepa - Pamoja na madhaifu yake ya kuzuia mikwaju ya mbali bado ameiokolea Chelsea magoli mengi, Mashabiki mmoja twiter aliandika kuwa kama asingekuwepo Kepa Chelsea ingefungwa hata magoli 60+ msimu huu. Naye saa nyingine alionekana akiwapanga na kuwasukuma wachezaji wakae kwenye position vizuri
  3. Silva - Tangu aje Silva amekuwa akicheza kwa weledi mkubwa na kuwa kiongozi bora na mwenye busara kwenye jezi ya Chelsea hadi hata akapewa mchezaji bora wa msimu
Naamini wako wengine ila mimi nimeona niwatete hao watatu hapo juu
 
Pochetino anapenda mpira wa pressing

Mchezaji mmojawapo atakayeendana na mfumo wake na atapata nafasi sana kwa Pochetino ni Conor Garagher
Poche ameshaidhinisha wazi anataka Galagher abaki japo Boehly ameshamuweka Conor Galagher kwenye orodha ya wachezaji watakaouzwa na wamemdaminisha katika paundi mil 44

Mchezaji ambaye anaweza asifae kabisa kwenye mfumo wa Pochetino ni hawa hapa
  1. Mendy
  2. Havertz
  3. Cheek
  4. Ziyech
Mimi nawaona hawa kama ni wazito kwenye kupress
Sio kwa Ziyech

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom