Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Broja akiwa chini ya kocha mzuri ni striker wa Calibre ya Chelsea
Ni mrefu
Bouncer
Kwa sifa hizo akiwa na stamina na ball control na clinicality kwenye kufunga atakuwa kama Haaland kwa sababu ni ngumu kumnyanyasa physicaly na kwenye aerial duels
Ana vyote hivyo lakini akili ya mpira hana. Ni sawa na Gallagah tu.
 
OTD

IMG_7892.jpg


We know who we are

IMG_7894.jpg


#CFC
 
IMG_7897.jpg


Pale London sehemu pekee anapopatikana mfalme ni Buckingham Palace tu, lakini pia makombe ya ulaya na dunia yanapatikana Stamford Bridge tu.
 
Chelsea nafasi ya 12 au ikipendeza zaidi 13 ni yetu
  • Crystal Palace wameshatupita
 
Majeruhi double figure again
  1. Armando Broja Knee Injury
  2. Reece James Thigh Injury
  3. Benoit Badiashile Mukinayi Baya Groin/Hip/Pelvic Injury
  4. N'Golo Kante Groin/Hip/Pelvic Injury
  5. Mason Mount Groin/Hip/Pelvic Injury
  6. Marc Cucurella Saseta Thigh Injury
  7. Ben Chilwell Thigh Injury
  8. Kalidou Koulibaly Thigh Injury
  9. Mateo Kovacic
  10. Marcus Bettinelli Other Apr 26: 'Bettinelli injured,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom