Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea tunahitaji coach wa kuwajenga vijana , hebu cheki wale madogo akina Bill Gilmour na Levi Colwill wanavyokichafua pale Brighton , Cobham products zile tena tulizoziona za kawaida au reject , mchezaji bila coach ni zero
 
Hakuna mchezaji wa Arsenal anaweza hii
FwGOwTHWYAIo_wb
 
Tunaposema Londo is Blue tunamaanisha
Haya sasa, Chelsea ndio timu ya mwisho kushinda haya makombe makub wa pale London
  1. Premier League ☑️
  2. Champions League☑️
  3. Europa League☑️
  4. Club World Cup☑️
  5. Super Cup ☑️
  6. League Cup ☑️
IWD_trophies
 
Boehly naona sasa kichwa kinafanya kazi
Kasalimu amri
Mkataba wa miaka mitatu
Atakuwa tayari kujadiliana na kocha kuhusu usajili wa wachezaji
Bado ile gonjwa ya kwenda kujipendekeza dressing room, sidhani kama Pochettino ataruhusu huo uchafuzi wa dressing room
- IMAO

Mauricio Pochettino will be in London this week to sign the contract as new Chelsea coach, expected to be valid until June 2026. Poch will start discussing transfer plans with the club. New striker and new midfielder will join Chelsea for sure.

- Fabrizio Romano

FwIHsl9WAAEc3NB
 
Kama Kante anabaki na Kovacic atahitaji kuongezewa mshahara obviously kitu ambacho sidhani kama uongozi utakubali ukichukulia hatuna UCL mwakani, kuna kila dalili ofa nzuri ikiletwa Kovacic anaweza kuuzwa. na wachezaji wengine wasiopungua 6

Hawa wachezaji wengine watauzwa na wengine wanaweza kuruhusiwa kuondoka bure bure
  1. Pulisic
  2. Auba
  3. Koulibally
  4. Azpilicueta
  5. Lukaku - itategemea msimamo wa Lukaku na Kocha mpya
  6. Mason Mount - Itategemea ofa itakayotolewa na au makubaliano ya mkataba mpya
  7. Mendy
  8. Hakim Ziyech - itategemea msimamo wa Lukaku na Kocha mpya
Pia striker mpya akiletwa na kiungo mpya akiletwa, Datro Fofana na Chunkwuemeka wataenda mkopo for sure

Lewis Hall namuona akiwa backup ya Chilwell badala ya Cucurela ambaye yeye nadhani atakuwa kwenye CB kushoto na Badiashile na Levi Colwill, Kulia atakuwa Fofana na Chalobah
LB atakuwa James na Gusto
Namuona Galagher au Cheek mmoja akiuzwa
Namuona Felix akibaki kwa mkopo au akiuzwa timu nyingine na sio Chelsea

Wa mkopo watakaorudi kwenye timu naona ni Colwill labda na yule wa Burnley, Ian Maatsen
 
Kama Kante anabaki na Kovacic atahitaji kuongezewa mshahara obviously kitu ambacho sidhani kama uongozi utakubali ukichukulia hatuna UCL mwakani, kuna kila dalili ofa nzuri ikiletwa Kovacic anaweza kuuzwa. na wachezaji wengine wasiopungua 6

Hawa wachezaji wengine watauzwa na wengine wanaweza kuruhusiwa kuondoka bure bure
  1. Pulisic
  2. Auba
  3. Koulibally
  4. Azpilicueta
  5. Lukaku - itategemea msimamo wa Lukaku na Kocha mpya
  6. Mason Mount - Itategemea ofa itakayotolewa na au makubaliano ya mkataba mpya
  7. Mendy
  8. Hakim Ziyech - itategemea msimamo wa Lukaku na Kocha mpya
Pia striker mpya akiletwa na kiungo mpya akiletwa, Datro Fofana na Chunkwuemeka wataenda mkopo for sure

Lewis Hall namuona akiwa backup ya Chilwell badala ya Cucurela ambaye yeye nadhani atakuwa kwenye CB kushoto na Badiashile na Levi Colwill, Kulia atakuwa Fofana na Chalobah
LB atakuwa James na Gusto
Namuona Galagher au Cheek mmoja akiuzwa
Namuona Felix akibaki kwa mkopo au akiuzwa timu nyingine na sio Chelsea

Wa mkopo watakaorudi kwenye timu naona ni Colwill labda na yule wa Burnley, Ian Maatsen
Vp kuhusu odoi??
 
Bill gilmour imeniuma sana kuondoka pale darajani
Chelsea tunahitaji coach wa kuwajenga vijana , hebu cheki wale madogo akina Bill Gilmour na Levi Colwill wanavyokichafua pale Brighton , Cobham products zile tena tulizoziona za kawaida au reject , mchezaji bila coach ni zero
 
Bill gilmour imeniuma sana kuondoka pale darajani
Gilmour alikuwa anaonyesha inconsistence pale darajani
Kwa timu kubwa kama Chelsea academy anatakiwa aive haraka
Timu ndogo ndizo zenye uvumilivu na saa nyingine uvumilivu wa hizo timu ndogo zinawacost hadi kushuka daraja
Kwa timu kubwa kama Chelsea ukiwavumilia wakue kocha huna kibarua
Demand ya matokeo ni kubwa mno kuliko muda wa kuwasubiri wale wanaochelewa kuiva
Mount, James na wengineo hawakuchukua muda kuiva,
Hata sasa Gilmour hatuwezi kusema ameiva na kuwa na consistence wakati n9i mechi chache tu kapewa
 
Gilmour alikuwa anaonyesha inconsistence pale darajani
Kwa timu kubwa kama Chelsea academy anatakiwa aive haraka
Timu ndogo ndizo zenye uvumilivu na saa nyingine uvumilivu wa hizo timu ndogo zinawacost hadi kushuka daraja
Kwa timu kubwa kama Chelsea ukiwavumilia wakue kocha huna kibarua
Demand ya matokeo ni kubwa mno kuliko muda wa kuwasubiri wale wanaochelewa kuiva
Mount, James na wengineo hawakuchukua muda kuiva,
Hata sasa Gilmour hatuwezi kusema ameiva na kuwa na consistence wakati n9i mechi chache tu kapewa
Unamzungumziaje CHO? asepe au?
 
Tunakaribia tena double digits kwenye injuries
  1. Armando Broja
  2. Reece James
  3. N'Golo Kante
  4. Mason Mount
  5. Marc Cucurella
  6. Ben Chilwell
  7. Kalidou Koulibaly
  8. Marcus Bettinelli
  9. Mateo Kovacic
 
Branislav Ivanovic - Legend asiyezungumziwa
Ivanovic alisajiliwa kama CB lakini sehemu kubwa ya career yake Chelsea alicheza kama RB, alikuwa ni aggressive na offensive. Atakumbukwa sana kwa goli lake zuri la kichwa dhidi ya Benefica 2013 ambalo ndilo lililotupa huo ubingwa wa Europa

crop-1048444.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom