Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_7818.jpg


Sisi ndio wafalme wa round 35?
 
Think Jorginho alitakiwa kuwepo hapa hadi sasa, Enzo & Carney wangejifunza vingi kutoka kwake.
 
Sasa Chelsea naomba muwapige wote hawa kwani nyie hamzipati point 9?
Screenshot_20230508-205548.jpg
 
2015/16 Chelsea ilikuwa na msimu mbaya sana. Ilimaliza nafasi ya 10. Burnley ilitawala Championship ikarudi EPL
2016/17 Chelsea ikabeba ubingwa wa EPL
2022/23 Chelsea tena msimu mbaya sana, tunategemea kumaliza nafasi ya 10 tena. Burnley tena ametawala Championship na kupandishwa EPL
2023/24 Chelsea tena ita....???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom