Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

IMG_7818.jpg


Sisi ndio wafalme wa round 35?
 
Nyinyi next season hata futuhi/luzaz kapu hamumo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boelhly anataka kuwauza hawa
  1. Mason Mount, [emoji780]
  2. Levi Colwill, [emoji777]
  3. Conor Gallagher, [emoji3581]
  4. Ruben Loftus-Cheek and [emoji3581]
  5. Callum Hudson-Odoi [emoji3581]
Hawajawahi kuwa na msaada
 
Think Jorginho alitakiwa kuwepo hapa hadi sasa, Enzo & Carney wangejifunza vingi kutoka kwake.
 
Wewe si ulikua unaongoza ligi msimu karibia msimu mzima naona na nyinyi mnagombania nafasi ya pili
Tunagombania na nani hiyo nafasi ya pili?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sisi tunagombania ubingwa nyie mnagombea kutoshuka daraja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa Chelsea naomba muwapige wote hawa kwani nyie hamzipati point 9?
Screenshot_20230508-205548.jpg
 
Tunagombania na nani hiyo nafasi ya pili?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sisi tunagombania ubingwa nyie mnagombea kutoshuka daraja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ubingwa unagombea na nani ??? Man City alikuacha upashe kiti chake moto mwenyekiti ameludi kukikalia
 
2015/16 Chelsea ilikuwa na msimu mbaya sana. Ilimaliza nafasi ya 10. Burnley ilitawala Championship ikarudi EPL
2016/17 Chelsea ikabeba ubingwa wa EPL
2022/23 Chelsea tena msimu mbaya sana, tunategemea kumaliza nafasi ya 10 tena. Burnley tena ametawala Championship na kupandishwa EPL
2023/24 Chelsea tena ita....???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom