Angalau afadhali Sterling hayupoMudryk sio goal scorer japo akiendelea kucheza na kuinua confidence yake atakuja kuwa a prominent goal scorer, yeye ni wide player na kwa uchezaji wake na mbio zake anaweza kutengeneza nafasi kwa wafungaji, mbio zake ndio silaha yake
Felix anaweza kuwa na chemistry nzuri na mudryk
Lampard amweke Datro Fofana mbele leo anyway kwa sababu hao wengine wamepewa nafasi na wameshindwa
4-2-3-1
--------------Datro Fofana ------------------------
Mudryk ------------- Felix ----------------- Madueke
-----------Enzo -----------------Kante ------------
Chilwell -------Silva --------Fofana --------Chalobah
---------------------Kepa -------------------------
Chalobah akicheza pembeni anacheza vizuri kuliko akicheza CB
Hii line up ikitumika kuhindwa kwetu ni droo
Ila utashangaa Lampard akija na hii line up
433
Sterling ------------- Havertz--------------- Madueke
----Enzo ---------------Kante------------Galagher----
Chilwell -------Silva --------Fofana --------Azpilicueta
---------------------Kepa -------------------------
Watu wamesusa jukwaa huku,kweli kufungwa kubaya, Sasahivi mashabiki wa chelsea wanaishi kama wanyama wale tunaoita nguchiro,huwa wanamashimo yao ya kujificha adui yao,mmoja utoka shimoni kuwapa tarifa kama kuna adui au la, Sasahivi mashabiki wa chelsea wameguka hivyo wanachungulia jukwaa lao kisha wanajificha,maneno yalikuwa mengi wakati tajiri la kimarekani linamwaga pesa za usajili, Sasahivi ndio hivyo,wanaishi kwa lawama.Poleni sana mashabiki.1-1 hata mabeki hamna
Wamekimbia aiseeWatu wamesusa jukwaa huku,kweli kufungwa kubaya, Sasahivi mashabiki wa chelsea wanaishi kama wanyama wale tunaoita nguchiro,huwa wanamashimo yao ya kujificha adui yao,mmoja utoka shimoni kuwapa tarifa kama kuna adui au la, Sasahivi mashabiki wa chelsea wameguka hivyo wanachungulia jukwaa lao kisha wanajificha,maneno yalikuwa mengi wakati tajiri la kimarekani linamwaga pesa za usajili, Sasahivi ndio hivyo,wanaishi kwa lawama.Poleni sana mashabiki.
Na huo mwiko usiuchomoe huko nyumaDah hili chama letu lishakuwa takataka kitambo sana. Siku hizi tuko kinyumbani zaidi twende na yanga tu Yanga daima mbele nyuma mwiko




Wachezaji wa Chelsea ni wazuri, wanampa tu ujumbe Boehly, mtakuja kuniambia baadayeLivescore 1 - 3 dah the blues tumeuona mwezi. Lampard apewe maua
Hakuna mtu aliyesusa, wengine umeme ulikata wakati wa 1-1Wamekimbia aisee