We nawe ni kama una ufala kichwani.. tu fight kwa ajili nini sasa, ili twende wapi?Nyie kenge hamna fighting spirit kabisa

Hizo sub za city zinazopasha, tuanzeni kuimba Yeloooooi yeloooooi namba saba kitani.








Watu mnapenda sana kujitafutia kufa mapema, unaanzaje kupoteza muda kushuhudia Chelsea FC mbovu namna hiyo ukaacha kuangalia;
Yanga FC.
Kula mziki.
Kuangalia muvi.
Kutembelea mbuga za wanyama.
Kula upepo beach.
Kupiga stories za maisha na Watu mbali mbali.
Kukaa na kuenjoyi na familia yako.
Kula Pisi Kali?
Ebu furahieni uhai mliopewa na Mungu badala ya kujutakia;
BP.
KISUKARI.
VIDONDA VYA TUMBO.
SONONA.
KUGONGWA NA GARI.
Mkajifia bure kabla ya siku zenu
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app


Tanzania mashabiki wa man City mpo 6 tuu


dunia nzima hamfiki mashabiki alfu tatu.sawa haya ni makalio yakooTanzania mashabiki wa man City mpo 6 tuudunia nzima hamfiki mashabiki alfu tatu


Mnarahaa gani nyie mnalala mpaka saizi ,Kwa raha gani tuliyonayo mkuu. Wacha tulale mpaka next season![]()



.piga makofi wanaume tupite weweTanzania mashabiki wa man City mpo 6 tuudunia nzima hamfiki mashabiki alfu tatu

Tino ndie kocha anayepatikana kwa sasa, chaguo langu ilikuwa Conte ila Conte kwa uvumilivu wake mdogo asingeweza kuendana na akina BoehlyPochettino ni sikio la kufa hakidhi vigezo na hana mbinu zozote za kuifundisha klabu kubwa kama Chelsea FC.
Mashabiki wa Chelsea FC tujiandae kisaikolojia kwa kuwa nafasi ya 7-10 kimsimamo EPL 2023/2024..
Tuombeane uzima, nimekaa pale.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wana Chelsea wenzangu hivi Ni striker gani tukimsajili anaeza tufaa pale kwa msimu ujao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app