Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kati ya mchezaji ambaye sina shaka naye ni mmoja wa wachezaji wakubwa Chelsea ni huyu Mudryk
FvMgeNgXsAANtCr
 
Hivi ni mimi tu niliona jinsi jana Sterling anavyotoa pasi kama toto la miaka miwili

Ndio maana PEP kamuondoa city haraka, hakuna tena mchezaji pale.

DTW_7928.jpg
Mchezaji mpira hawezi akawa amebinuka hivyo na kukimbia kishoga shoga...huyu jamaa akiolachwa na chelsea sijui timu gani kubwa itamtaka. Lampard anaendekeza uzawa wake na utamponza manina zake
 
Mesi kapigwa suspension na PSG, akimaliza suspension obviously ataenda kuungana na Ronaldo kwenye maisha ya uzeeni kule Uarabuni

1683123283496.png
 
Kwan Chelsea kuna shida gani je kweli tatzo kocha au tatzo wachezaji aje unaweza timuwa wachezajo wote ukaanza upya au nn kifanyike
90% wachezaji wako vizuri

Matatizo kwa asilimia haya hapa
  1. Umang'aa kwenye mpira na maamuzi mabovu ya Boehly na jopo lake 65%
  2. Kocha mbovu na benchi lake la ufundi 20%
  3. Ugeni wa wachezaji 10%
  4. Ubovu wa wachezaji 5%
 
90% wachezaji wako vizuri

Matatizo kwa asilimia haya hapa
  1. Umang'aa kwenye mpira na maamuzi mabovu ya Boehly na jopo lake 65%
  2. Kocha mbovu na benchi lake la ufundi 20%
  3. Ugeni wa wachezaji 10%
  4. Ubovu wa wachezaji 5%
Je tajiri anaweza kujitahimini
 
Je tajiri anaweza kujitahimini
Hana namna, mimi naamini jinsi muda unavyokwenda Boehly na wenzake wanjitadhmini na watageuka watakuja kuwa viongozi wazuri.
Kwenye mchakato wa kujifunza huwa kuna kuboronga na huko kuboronga ndiko tunajifunzia humo humo
Mfano, kuna sehemu Boehly alikiri kuwa walifanya makosa makubwa mwanzoni ila hakusema ni makosa yepi. Naamini mojawapo ni
  1. Kumwaga pesa kiholela bila kumuweka kocha kwenye process
  2. Kumwajiri Potter
  3. Kuchelewa kuajiri nafasi zile za kitaaluma akabaki anafanya vyote yeye
 
Hana namna, mimi naamini jinsi muda unavyokwenda Boehly na wenzake wanjitadhmini na watageuka watakuja kuwa viongozi wazuri.
Kwenye mchakato wa kujifunza huwa kuna kuboronga na huko kuboronga ndiko tunajifunzia humo humo
Mfano, kuna sehemu Boehly alikiri kuwa walifanya makosa makubwa mwanzoni ila hakusema ni makosa yepi. Naamini mojawapo ni
  1. Kumwaga pesa kiholela bila kumuweka kocha kwenye process
  2. Kumwajiri Potter
  3. Kuchelewa kuajiri nafasi zile za kitaaluma akabaki anafanya vyote yeye
Lakini wataalamu amewaajiri tayri ila mbona kma bado anakosea ??
Mfano kumuajiri frank hilo nalo ni kosa kubwa kufanya kwake kwenye career ya soka mkuuu
Na je kweli hao wataalamu anawasikiliza au hawapi hata muda?
 
Wazandiki wanavyotutabiria mabaya bila kutafakuri kwa logic
Hakuna timu katika hizi 5 zenye uwezo wa kuchukua points hata 6, zikijitahidi sana ni 4 points points only out of 12
1683141577076.png


FvNG17dWcAAseaC
 
Dah Yani mnatia huruma hata tukiwacheka ni kama tunawaonea tu aise.

Nime miss zile mbwembwe za Papaa Gx zenye alikuwa anatutania na uzi wetu ule wa pundamilia

Man u sidhani kama tumewai kuwa na msimu mbaya kama huu aise pigweni tu ila msishuke daraja tu tunawaitaji hapa.
 
Dah Yani mnatia huruma hata tukiwacheka ni kama tunawaonea tu aise.

Nime miss zile mbwembwe za Papaa Gx zenye alikuwa anatutania na uzi wetu ule wa pundamilia

Man u sidhani kama tumewai kuwa na msimu mbaya kama huu aise pigweni tu ila msishuke daraja tu tunawaitaji hapa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Msimu
Dah Yani mnatia huruma hata tukiwacheka ni kama tunawaonea tu aise.

Nime miss zile mbwembwe za Papaa Gx zenye alikuwa anatutania na uzi wetu ule wa pundamilia

Man u sidhani kama tumewai kuwa na msimu mbaya kama huu aise pigweni tu ila msishuke daraja tu tunawaitaji hapa.
Usijali, kushuka hatushuki, msimu ujao tutapambana hapo juu kwenye nafasi yetu. Tumewakodishia msimu huu tu
Arsenal na Manure nafasi yetu ni huku midtable
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom