Boehly kaahidi dirisha lijalo lazima tununue hawa world class
players
- Striker,
- CM
- GK.
Shut-up!😀😀😀Kuna faida gani kununua wote hao kucheza Championship na akina Sunderland?
Tino anakujaKama mafuriko ya usajili wa wachezaji tumeyaona. Now Tunataka kocha mzuri kwanza.
Hivi kama tukifugwa michezo yote iliyobaki si tunashuka daraja?
Ili tushuke itahitajika timu zote zilizo chini yetu wao wapate points sio chini ya 10Wazandiki wanavyotutabiria mabaya bila kutafakuri kwa logic
Hakuna timu katika hizi 5 zenye uwezo wa kuchukua points hata 6, zikijitahidi sana ni 4 points points only out of 12
View attachment 2608939
![]()
Ndg yangu Malafyale, hata mgonjwa kuna wakati anataniwa na akizidiwa anatiwa moyo na akizidiwa sana anaombewa. Sasa ninyi ni kumsodoa tu mgonjwa hata akiwa ICU, chonde chone muwe na ubinadamu basiKuna faida gani kununua wote hao kucheza Championship na akina Sunderland?
Na wakirud mwendo ni uleule. Yuko wap Gallagher wa palace ambae Kila mtu alikua anamuona kama new lampard, unaamin Levi colwil akirud atapewa nafasi? Chelsea hatuna shida ya wachezaji wazuri tuna shida na mwanetu boehly.Madogo wetu wapelekwe Brighton kwa mkopo wakakue huko.
Akiacha ubishia na ujuaji kwanza ndipo ataweza kujifunza, kusema na kutenda ni vitu viwili tofautiBoehly anatakiwa atulize akili kwenye kuchagua na kusimamia maono yake.
The blues ya Roman ilikuwa ya usajili wa mastaa zaidi, academic players wengi walikuwa wanatolewa mkopo na kuuzwa.
Boehly amedili sana na kusajili wachezaji vijana wadogo wengi. Kama anasajili vijana wengi kutoka nje upi mustakabali wa vijana wanaozalishwa academy yetu?
Upi mpango mkakati wa hao vijana wanaosajiliwa kwenye kuendeleza kukuza vipaji vyao na ikiwezekana kuingia kwenye 1st team?
Mistakes, mistakes, mistakes.
Maadam Boehly amekiri wamevurunda kwenye maamuzi ya aspects mbalimbali baada ya kuchukua timu. Then Ni wakati wa kuyarekebisha mapema
Kawaajiri picha tu bado yeye anafanya maamuzi kwenye bodi na hata kuingilia kazi za ukocha, so sad kwa kweliLakini wataalamu amewaajiri tayri ila mbona kma bado anakosea ??
Mfano kumuajiri frank hilo nalo ni kosa kubwa kufanya kwake kwenye career ya soka mkuuu
Na je kweli hao wataalamu anawasikiliza au hawapi hata muda?