Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi Boehly alifikiria nini kumleta Lampard???
Au alitaka kuuonyesha ulimwengu jinsi gani alivyo na maamuzi ya kukurupuka??

FvJoqitXsAEto67
 
Hawa vijana wanaowekwa benchi na saa nyingine hata benchi hawako ndio walitakiwa kupewa muda ili wakue watusaidie msimu ujao
Hii ya kuwang'ang'amnia dead names kama za akina Sterling ndio inatuua na kutumaliza

FvJxgtPXsAQ5B96
 
Guys, tuwe serious kidogo. Kati ya mechi 5 tukijitahidi kuna uwezekano wa kushinda game mbili ambazo n pointi 6. Tofauti yetu na wa 18 ni point 9.
Guys, championship ileeeeeeeeeeeeeeee

Screenshot_20230503-004206~2.jpg
 
Hwa makocha wa kiingereza na "The Lads" Lampard naye kaanza kuwatetea The Lads
1683078847373.png
 
Sielewi ni kwann mudrky anakaa benchi
Lampard hana akili, Uingereza umemjaa.
Sio Mudryk tu, utaona hata Badiashile hachezi ila Chalobah anacheza

Katika maamuzi mabov ya Boehly ukiachana na Potter ni kumleta Lampard tena mtu ambae hana tactics zozote yani anategemea wachezaj tu,

Tuna wachezaj wazuri sema wamekosa mwalim wakuwaongoza.

Kulikuwa hakuna haja ya kumleta Lampard kwa aina ya matokeo tuliyokuwa nayo.
 
Hawa vijana wanaowekwa benchi na saa nyingine hata benchi hawako ndio walitakiwa kupewa muda ili wakue watusaidie msimu ujao
Hii ya kuwang'ang'amnia dead names kama za akina Sterling ndio inatuua na kutumaliza

FvJxgtPXsAQ5B96
Subir lampard akusupriseUtakutana na Galagher,Loftus Cheek,Sterling,Chalobah,Azp,Kepa etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom