verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Kwanini hamjaweka wapaka blichi?
Huwa nafikiri kuwa Kuna kaubaguzi fulani wakiweka matokeo na picha ya mchezaji. Timu ikiwa inaongoza au ikishinda wanaitumia picha ya mchezaji mweupe. Timu ikiwa nyuma au ikifungwa wanaitumia picha ya mchezaji mweusi
😔😔Chelsea sio timu


Huwa naumia sana ninapoona Pisi Kali kama wewe unasononeka rohoni, ebu sogeza kiti hapa nikukonge roho maana nikikuwezesha wewe Mtoto mzuri nimeokoa Jamii
tumeshakubaliana na hili ni muda kutoka sasa,
Ahsante.

.
Tunasimama nae mpaka kihamaFrank Lamparange komaa nao tu mwana wane mimi na Bachelor II tuko nyuma yakoView attachment 2607861View attachment 2607862
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Chelsea si kabila jamani kuepukana na BP, kisukari, vidonda vya tumbo, sonona na hata kujiua ili tujitafunie Pisi Kali kama Carleen, Depal na Kalpana wala usingetuonea hurumaMnawaonea wivu wakina wigan na wycombe kwamba wanafaidi kule championship mnataka kwenda kuwaonea na wakina Enzo![]()
