Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,028
- 125,838
Inaweza ikatokea bahati mbaya tukapata draw afu tumuharibie point zakeSasa we kwa akili ya kawaida unaona Lampard atashinda mechi yoyote ile?
Inaweza ikatokea bahati mbaya tukapata draw afu tumuharibie point zakeSasa we kwa akili ya kawaida unaona Lampard atashinda mechi yoyote ile?
Amka acha kuota, tumuombe mungu tu hiyo mechi iwe na magoli machache.Inaweza ikatokea bahati mbaya tukapata draw afu tumuharibie point zake
Lipo wazi hilo maana Enrique kashatolewa kwenye list ya kocha ajayeInaonekana kabisa manager wetu ajae ni Julian Nagelsman.
Kama tungekuwa na mpango na Enrique tungekuwa tushamtangaza baada ya kumtimua Potter
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo tunategemea Galagher na Havertz ndio watumbukize 3
Kama Potter alikuwa ni Chuck Noriss basi Lampard ni Rambo kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117] Kocha hana Mbinu za ushindi
[emoji117] Wachezaji hawana Morale ya Ushindi
[emoji117] Wachezaji wameathirika kisaikolojia na kimwili
[emoji117] Timu haina uwezo wa kufunga goli.
Tajiri dhaifu, Benchi la Ufundi dhaifu, wachezaji dhaifu = Matokeo Dhaifu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kushambulia golini na kuzurura golini.
The blues inazurura golini mwa Madrid.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaaahhhh michezaji inapoteza nafasi za wazi kabisa, halafu ikifika kwenye 18 inarelax tu utafikiri yenyewe
ndio inaongoza kwa goli 2-0
Hii michezaji yenu haina hata huruma kwa mashabiki wao.
Mkuu hii profile pic yako niikona nakua hoi kicheko[emoji1787]Kwann Enzo asipande mbele kisha Kante arudi kati?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Madrid kale kamtego kao ka kusubiri waanze kufungwa walivyoona kameshtukiwa wameamua kuanza kutembeza bakora
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mabeki wetu mburura kweli kweli
Mtu anapokea mpira atatuliza halafu anaangalia apige kulia au kushoto halafu anapiga bado hajakabwa
Chaloba hata yeye alijua huo mpira hataugusa ila akijitia beki mbabe. Huyo hata atolewe bure
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunadaiwa goli nne ndani ya dk 10, muujiza unazidi kuongezeka. Mashabiki wasioamini huumuujiza wameanza kutoka uwanjani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulia hapo hapo uendelee kula chuma hicho [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi hii QF tulifikaje jamani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ni timu au kikundi cha ngoma?kila siku kukata mauno tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Ukiwa na MB 10 uangalie magoli yote ya Chelsea msimu huu Bado utabakiwa na MB 9.8
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chelsea mwezi wa nne unaisha timu nzima imefunga goli moja tu